Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,235
Ni kiongozi wa Jeshi Polisi aliyekosa weledi na asiye na uwezo wa kuona chanzo cha matatizo ya uchaguzi, intelijensia yake ni sifuri kabisa.
Pamoja na kufahamika wazi kabisa kwamba chanzo cha matatizo ya kisiasa ya Pemba na maeneo mengine nchi nzima ni uhuni wa Tume ya uchaguzi kupitia makada wa CCM wanaoitwa Wakurugenzi lakini yeye kama mkuu wa Polisi amefumba macho na kuamua kuwamwagia mikwara na vitisho raia wasio na hatia yoyote kwenye jambo hili , sasa yaweza kuwa ametumwa kutikisa kiberiti au labda amejituma mwenyewe.
Baada ya kumchunguza kwa jicho la tatu napendekeza kwa Rais mpya atakayetokana na CHADEMA kumfuta kazi mara moja ndugu Simon Sirro masaa machache tu baada ya kuapishwa , hafai kuongoza taasisi kubwa kama hii na anatumika .
Pamoja na kufahamika wazi kabisa kwamba chanzo cha matatizo ya kisiasa ya Pemba na maeneo mengine nchi nzima ni uhuni wa Tume ya uchaguzi kupitia makada wa CCM wanaoitwa Wakurugenzi lakini yeye kama mkuu wa Polisi amefumba macho na kuamua kuwamwagia mikwara na vitisho raia wasio na hatia yoyote kwenye jambo hili , sasa yaweza kuwa ametumwa kutikisa kiberiti au labda amejituma mwenyewe.
Baada ya kumchunguza kwa jicho la tatu napendekeza kwa Rais mpya atakayetokana na CHADEMA kumfuta kazi mara moja ndugu Simon Sirro masaa machache tu baada ya kuapishwa , hafai kuongoza taasisi kubwa kama hii na anatumika .