SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,119
- 6,718
Taarifa huwa haziozi.
Hoja hiyo kwenye mada; Iliibuliwa na siye Mwingine bali Nguli wa Siasa wa CHADEMA.
Unaweza pitia hapa kwa Taarifa
Bila ya Kuharibu shehena.
Hatahivyo nitamnukuu kiunagaubaga.....
Imetoka Maktaba.
Hoja hiyo kwenye mada; Iliibuliwa na siye Mwingine bali Nguli wa Siasa wa CHADEMA.
Unaweza pitia hapa kwa Taarifa
Bila ya Kuharibu shehena.
Hatahivyo nitamnukuu kiunagaubaga.....
Has Chadema Reformed?Kwa siku kadhaa nilikuwa nimetoweka hapa JF. Kabla ya kutoweka nilishiriki mjadala mrefu kwenye FOCUS 2010 na CHADEMA must reform.
kumezuka hoja ya kuiondoa CCM madarakani- lakini swali la ziada limezuka- kwa ajili gani? Nini kifuate baada ya kuitoa CCM madarakani?
Mjadala huu ni muhimu kwa kuwa naamini kabisa ushirikiano wa vyama kama wa CHADEMA, CUF, TLP na NCCR Mageuzi unapaswa kusikiliza matakwa ya umma kwa kiasi kikubwa. Swali hili ni muhimu kwa kuwa linaweza kutoka na ajenda za msingi za uchaguzi wa mwaka
Mjadala huu ni kwa yoyote ambaye ana Tanzania anayoitaka ambayo anaona bado utawala uliopo haujaweza kuileta.
Imetoka Maktaba.