johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Wanaenda kumuombea dua sio kumuomba.Kwa hiyo wameifanya kaburi ya marehemu Maalim sehemu ya kuabudu? Ndo mafundisho ya dini yao, au Mtume SAW??
🤣🤣🤣🤣Mfukunuzi katika ubora wako, ngoja waje wazee wa legacyWananchi wa Pemba wameiomba SMZ iijenge kwa kiwango cha lami barabara iendayo kwenye kaburi la maalim Seif kwani imeharibika sana hali inayopelekea magari kupakiwa umbali wa km 3 kutoka eneo la kaburi.
Ombi hilo limetolewa mbele ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Masoud aliyezuru kaburi hilo kwa ajili ya kusoma dua.
Source ITV habari
My take; Huyu maalim Seif yawezekana ni nabii sijajua kule Geita
Kama ndivyo sawa, ila mleta uzi alisema inawezekana MAALIM ni nabii, sijui anatumia kigezo ganiWanaenda kumuombea dua sio kumuomba.
Kaburi la sharif!Kama ndivyo sawa, ila mleta uzi alisema inawezekana MAALIM ni nabii, sijui anatumia kigezo gani
Nafikiri kigezo ni jinsi LEGACY yake inavyojijenga yenyewe automatically kwa kupigania UTU wao HAKI na USAWA kiasi watu wanamlilia MUNGU awaletee Maalim mwingine kma yuleKama ndivyo sawa, ila mleta uzi alisema inawezekana MAALIM ni nabii, sijui anatumia kigezo gani
Mkuu una chuki Binafsi, Legacy ya Hayati JPM hailazimishwi. JPM ameitumikia nchi yake kwa nguvu kubwa mno toka akiwa Waziri. Mimi na wewe yawezekana hata level ya Mtaa bado hatujafanikiwa. Tutofautishe chuki binafsi na ukweli kuhusu mtu. Mimi sikuwa mpenzi sana wa Maalim Seif lakini namkubali, jamaa alikuwa mwanasiasa kweli. JPM huku kitaa watu bado wana huzunika na aliaminika na watu wengi kuliko wale ambao hawakuwa upande wake. Kila mtu hawezi pendwa na wote lakini ukweli hubaki ni ukweli kuwa mtu unaweza usimpende lakini kafanya mengi kwa Taifa lake. Tujitahidi na sisi tuitumikie nchi hata kwa level ya mtaa badala ya kuwa vinara wa kuwasema watu wakati sisi hata mtaani hatujafanya jambo. Tofauti za hoja hazimfanyi mtu awe mbaya kwako. Mungu Ibariki Tanzania. Wananchi wa Pemba wasikilizwe na kama fungu lipo wajenge barabara kwa ajili ya kuwafanya watu kufika katika kaburi la Maalim Seif Sharif Hamad.Nafikiri kigezo ni jinsi LEGACY yake inavyojijenga yenyewe automatically kwa kupigania UTU wao HAKI na USAWA kiasi watu wanamlilia MUNGU awaletee Maalim mwingine kma yule
Tofauti na ile LEGACY ya CHATO inayolazimishwa japo maalim hajawajengea MADARAJA wala hawajanunulia NDEGE kwa CASH watu wa PEMBA na UNGUJA
Nimeambiwa watu kutoka nchi mbalimbali duniani wanamiminika kuzuru kaburi la shujaa!Wapigie simu Geita
mkuu unaanzaje kutetea liu.wa.ji hilo lililojaa chuki za kila ainaMkuu una chuki Binafsi, Legacy ya Hayati JPM hailazimishwi. JPM ameitumikia nchi yake kwa nguvu kubwa mno toka akiwa Waziri. Mimi na wewe yawezekana hata level ya Mtaa bado hatujafanikiwa. Tutofautishe chuki binafsi na ukweli kuhusu mtu. Mimi sikuwa mpenzi sana wa Maalim Seif lakini namkubali, jamaa alikuwa mwanasiasa kweli. JPM huku kitaa watu bado wana huzunika na aliaminika na watu wengi kuliko wale ambao hawakuwa upande wake. Kila mtu hawezi pendwa na wote lakini ukweli hubaki ni ukweli kuwa mtu unaweza usimpende lakini kafanya mengi kwa Taifa lake. Tujitahidi na sisi tuitumikie nchi hata kwa level ya mtaa badala ya kuwa vinara wa kuwasema watu wakati sisi hata mtaani hatujafanya jambo. Tofauti za hoja hazimfanyi mtu awe mbaya kwako. Mungu Ibariki Tanzania. Wananchi wa Pemba wasikilizwe na kama fungu lipo wajenge barabara kwa ajili ya kuwafanya watu kufika katika kaburi la Maalim Seif Sharif Hamad.
Wanakuja kushuhudia kama kweli dikteta kafaNimeambiwa watu kutoka nchi mbalimbali duniani wanamiminika kuzuru kaburi la shujaa!
Mimi sikuuona uuaji wa JPM zaidi ya kuona fablication za watu hasa wana siasa wa chama chetu CHADEMA. Kuna mambo sikumuunga mkono kama Rais wangu lakini Mengi nilimuunga mkono ambayo niliona yana manufaa kwa nchi yetu. Ukiwa Rais lawama zote ni zako na mazuri ni yako. Mimi kilio changu ni kuwa na siasa zenye tija kwa nchi za kushindanisha sera. Hapa nina kiu kubwa kuona hayo yakija. Tumsamehe kama binadamu kwa yale ambayo hakufanya vizuri, tuchukue Mazuri kama watanzania na wanasiasa yatalifaa taifa mbeleni huko pamoja na sasa.mkuu unaanzaje kutetea liu.wa.ji hilo lililojaa chuki za kila aina