johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,566
Wananchi wa Pemba wameiomba SMZ iijenge kwa kiwango cha lami barabara iendayo kwenye kaburi la Maalim Seif kwani imeharibika sana hali inayopelekea magari kupakiwa umbali wa km 3 kutoka eneo la kaburi.
Ombi hilo limetolewa mbele ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Masoud aliyezuru kaburi hilo kwa ajili ya kusoma dua.
Chanzo: ITV habari
My take; Huyu Maalim Seif yawezekana ni nabii.
Ombi hilo limetolewa mbele ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Masoud aliyezuru kaburi hilo kwa ajili ya kusoma dua.
Chanzo: ITV habari
My take; Huyu Maalim Seif yawezekana ni nabii.