PCCB Kabla Hawajaita Interview Watafanya Hivi.

PCCB Kabla Hawajaita Interview Watafanya Hivi.

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
31,273
Reaction score
89,332
Habari wakuu.
PCCB kama kitengo nyeti cha kupambana na rushwa, wanahitaji watu smart sana kuwaajili. (Tuondoe dhana kwamba kuna watu wanawekwa kwakua ni watoto wa vigogo au vinemo vitahusika, wote walio apply wana equal chance ya kuitwa interview na kupata ajira). Ili kutimiza adhma yao, hawa jamaa kwa kutumia agents wao walio sambaa nchini watafanya haya:

-Watakupeleleza hadi mtaa uliokulia. Hii itawasaidia wao kupata background yako. Je, utotoni ulikua na tabia gani? Mdokozi? Kiburi? etc. Hii itafanikishwa kwa cheti cha darasa la saba ulichowapa. So utakua easy to be traced. Kama pia umewahi wekwa jela, au kuhusishwa na kesi yoyote hapa mmh, wanaweza kuku-eliminate.

-Watatumia search engine kama Google kupata more details kuhusu wewe. Hapa wataangalia post zako facebook (Kama ni za kuropoka ropoka au za kitoto basi wanajua hutawafaa), Pia wataangalia una expose vipi details zako au mambo yako (Picha, au wale ukiwa unakula una post "karibuni wali nyama", au contact details zako unazi expose, watajua wewe sio agent mzuri), wale wamiliki wa blogs ambao wanatumia majina yao (mf: mimi at blogspot dot com) inaweza kuwa-cost, kwasababu wengi wenye blog chochote wakuonacho/wakisikiacho etc upenda kukiexpose katika media zao ili blog yao iwe famous. Pia wataangalia how smart you are kupitia posts ubazo comment facebook, au katika blogs mbalimbali. Kama wewe ni mdau wa zile page za "Utamu unakuja ****" utakua katika hali mbaya hapa.

Pia ukifanikiwa kuitwa Interview:

-Physical fitness itakua moja ya kigezo. Hii inaweza involve mazoezi (mf: riadha kuzunguka uwanja mara kadhaa) na walio physically fit na wakaonesha uwezo hapa watapewa kipaumbele. Hii issue kama police tu.

-Kwa wale wa ITs, lazima upewe/uende na computer na uwaoneshe kwa vitendo uwezo wako (Maybe ku-hack something or ku-trace some information) kama yalee yaliowakuta watu Wizara ya Nishati na Madini. So kama umeandika katika CV yako unazijua program/software/programming flani flani, nakushauri zipigie mazoezi practically mapema.

NB: Haya ni mawazo yangu Tu. Na sio kwamba kwa nafasi zote. Chache Tu.
 
dah ebwana kweli kupata kazi ni kazi.. kwa stail hii tumwachie MUNGU tu
 
Haujui kitu dgo tuulize tulioko kwenye system jiulize PCCB NA B.O.T ipi ni nyeti ukipata jbu jiulize watoto wa vigogo wangap wapo huko.....mtoto wa masikini utasubiri sana nchi isha uzwa hii
 
Habari wakuu.
PCCB kama kitengo nyeti cha kupambana na rushwa, wanahitaji watu smart sana kuwaajili. (Tuondoe dhana kwamba kuna watu wanawekwa kwakua ni watoto wa vigogo au vinemo vitahusika, wote walio apply wana equal chance ya kuitwa interview na kupata ajira). Ili kutimiza adhma yao, hawa jamaa kwa kutumia agents wao walio sambaa nchini watafanya haya:

-Watakupeleleza hadi mtaa uliokulia. Hii itawasaidia wao kupata background yako. Je, utotoni ulikua na tabia gani? Mdokozi? Kiburi? etc. Hii itafanikishwa kwa cheti cha darasa la saba ulichowapa. So utakua easy to be traced. Kama pia umewahi wekwa jela, au kuhusishwa na kesi yoyote hapa mmh, wanaweza kuku-eliminate.

-Watatumia search engine kama Google kupata more details kuhusu wewe. Hapa wataangalia post zako facebook (Kama ni za kuropoka ropoka au za kitoto basi wanajua hutawafaa), Pia wataangalia una expose vipi details zako au mambo yako (Picha, au wale ukiwa unakula una post "karibuni wali nyama", au contact details zako unazi expose, watajua wewe sio agent mzuri), wale wamiliki wa blogs ambao wanatumia majina yao (mf: mimi at blogspot dot com) inaweza kuwa-cost, kwasababu wengi wenye blog chochote wakuonacho/wakisikiacho etc upenda kukiexpose katika media zao ili blog yao iwe famous. Pia wataangalia how smart you are kupitia posts ubazo comment facebook, au katika blogs mbalimbali. Kama wewe ni mdau wa zile page za "Utamu unakuja ****" utakua katika hali mbaya hapa.

Pia ukifanikiwa kuitwa Interview:

-Physical fitness itakua moja ya kigezo. Hii inaweza involve mazoezi (mf: riadha kuzunguka uwanja mara kadhaa) na walio physically fit na wakaonesha uwezo hapa watapewa kipaumbele. Hii issue kama police tu.

-Kwa wale wa ITs, lazima upewe/uende na computer na uwaoneshe kwa vitendo uwezo wako (Maybe ku-hack something or ku-trace some information) kama yalee yaliowakuta watu Wizara ya Nishati na Madini. So kama umeandika katika CV yako unazijua program/software/programming flani flani, nakushauri zipigie mazoezi practically mapema.

NB: Haya ni mawazo yangu Tu. Na sio kwamba kwa nafasi zote. Chache Tu.

Acha uongo kwa taarifa yako hivo vyeti vya daras la saba ni geresha tu, eti watakufuatilia mpaka ulikozaliwa nani kakuambia hiyo kitu ipo tena Tanzania,watu wanapewa nafasi za usalama wa taifa hata hawajawahi ulizwa kama walimaliza form four ama vipi
 
Haujui kitu dgo tuulize tulioko kwenye system jiulize PCCB NA B.O.T ipi ni nyeti ukipata jbu jiulize watoto wa vigogo wangap wapo huko.....mtoto wa masikini utasubiri sana nchi isha uzwa hii

Why Are Politicians Always Trying to Scare Us?
 
Acha uongo kwa taarifa yako hivo vyeti vya daras la saba ni geresha tu, eti watakufuatilia mpaka ulikozaliwa nani kakuambia hiyo kitu ipo tena Tanzania,watu wanapewa nafasi za usalama wa taifa hata hawajawahi ulizwa kama walimaliza form four ama vipi

Nadhani wasio tuma vyeti vya darasa la 7 wanajifariji.
 
Kweli wanakupeleleza mpk kwenu, ila kuna training nasikia jinsi ya kujihami in case umebambwa.
 
TAKUKURU hawajawahi kuwa makini. Mwezi wote huu wa October hawajakamata hata rushwa moja Tanzania nzima, kama wangekuwa wana ajiri watu makini wasingeshindwa kujua kuwa askari wa usalama barabarani wanapokea rushwa kila dakika. TAKOKURU hawajui kuwa askari polisi wanapokea rushwa hivyo wameshindwa kuwakamata
 
Habari wakuu.
PCCB kama kitengo nyeti cha kupambana na rushwa, wanahitaji watu smart sana kuwaajili. (Tuondoe dhana kwamba kuna watu wanawekwa kwakua ni watoto wa vigogo au vinemo vitahusika, wote walio apply wana equal chance ya kuitwa interview na kupata ajira). Ili kutimiza adhma yao, hawa jamaa kwa kutumia agents wao walio sambaa nchini watafanya haya:

-Watakupeleleza hadi mtaa uliokulia. Hii itawasaidia wao kupata background yako. Je, utotoni ulikua na tabia gani? Mdokozi? Kiburi? etc. Hii itafanikishwa kwa cheti cha darasa la saba ulichowapa. So utakua easy to be traced. Kama pia umewahi wekwa jela, au kuhusishwa na kesi yoyote hapa mmh, wanaweza kuku-eliminate.

-Watatumia search engine kama Google kupata more details kuhusu wewe. Hapa wataangalia post zako facebook (Kama ni za kuropoka ropoka au za kitoto basi wanajua hutawafaa), Pia wataangalia una expose vipi details zako au mambo yako (Picha, au wale ukiwa unakula una post "karibuni wali nyama", au contact details zako unazi expose, watajua wewe sio agent mzuri), wale wamiliki wa blogs ambao wanatumia majina yao (mf: mimi at blogspot dot com) inaweza kuwa-cost, kwasababu wengi wenye blog chochote wakuonacho/wakisikiacho etc upenda kukiexpose katika media zao ili blog yao iwe famous. Pia wataangalia how smart you are kupitia posts ubazo comment facebook, au katika blogs mbalimbali. Kama wewe ni mdau wa zile page za "Utamu unakuja ****" utakua katika hali mbaya hapa.

Pia ukifanikiwa kuitwa Interview:

-Physical fitness itakua moja ya kigezo. Hii inaweza involve mazoezi (mf: riadha kuzunguka uwanja mara kadhaa) na walio physically fit na wakaonesha uwezo hapa watapewa kipaumbele. Hii issue kama police tu.

-Kwa wale wa ITs, lazima upewe/uende na computer na uwaoneshe kwa vitendo uwezo wako (Maybe ku-hack something or ku-trace some information) kama yalee yaliowakuta watu Wizara ya Nishati na Madini. So kama umeandika katika CV yako unazijua program/software/programming flani flani, nakushauri zipigie mazoezi practically mapema.

NB: Haya ni mawazo yangu Tu. Na sio kwamba kwa nafasi zote. Chache Tu.
bado una mawazo ya kitoto! story za vijiweni hizo
 
Haujui kitu dgo tuulize tulioko kwenye system jiulize PCCB NA B.O.T ipi ni nyeti ukipata jbu jiulize watoto wa vigogo wangap wapo huko.....mtoto wa masikini utasubiri sana nchi isha uzwa hii

hee tumechoka sasa jaman sikuhizi kila mtu eti yupo kwenye system haya mtuambie kwenye hizo system mwaoperate nini mana mmezidi sasa kila system system nendeni club na masystem yenu mkaburudishe watu mtuache tusio kwenye system.. mnaboa kazi kukatisha watu tamaa kama umepata tulia wenzio tugange.
 
kwa mwenendo huo watamaliza 2016 kumaliza kufuatilia watu. alafu ukakojoe ulale upate kukua kimwili na kimawazo pia.
 
Ukisikia haya majina yanatajwa hapa Tz unaweza ukafikiri ni paradiso mara system,mara intelijensia oho mara mkukuta yaani upuuzi mwingi mpaka Mbagara
 
Watu "walio kwenye system" wasumbufu sana.
 
Back
Top Bottom