PCCB Iliharibu Yenyewe Kesi ya Idd Mohamed Simba

PCCB Iliharibu Yenyewe Kesi ya Idd Mohamed Simba

MORINYO; Ndugu yangu NBC ni makaburu hawafanyi kazi kibongobongo.
Ata hisa alizochukua rizwan Tanzanite One ambayo ni za makaburu nao wapo smart sio?kwa taarfa yako wapenda dili/rushwa wakubwa ni wahindi na makaburu fuatilia kwenye migodi uscheze muzki usioujua au umepewa buku 7 lumumba street uktumwa tumia na akili zako
 
Wewe Oswald mbona unatia aibu. Miaka yote hiyo ya utumishi hujakomaa tu?
Ama kweli uroho wa umaarufu unakumaliza ndugu yangu. Umejishushia credibility yako binafsi kwa tunaokufahamu kwa muds mrefu na hasa ofisi ya DPP kwa ujumla. Nimeamua kukuandikia openly baada ya kutojibu PM zangu zaidi ya tano.

Menosugu

Moderator hii ni name calling!!! Apewe ban!
 
DPP Feleshi atakumbuksa katika historia ya Tanzania kama mwendesha mashtaka wa kwanza kutumika kisiasa kwa kuwabambikizia kesi za ugaidi wapinzani wa kisiasa wa ccm. Kama dpp ameshindwa kujua makosa ya Lwakatare na Kileo sio ugaidi, hawezi kujua kaja Kisena ana makosa, hizi ni porojontu za ofisi dhaifu na isiyo na weledi ya dpp feleshi
 
Moderator hii ni name calling!!! Apewe ban!

Who does not have a name, what do you term as name calling, and what are you worried about an opportunist being exposed. Usilete tabia za CCM humu ndani. Kama nimemsingizia basi alete evidence and I will give mine! Welcome to the "land of the free and the home of the brave" Jamii Forum. Hapa siyo pa kujificha ila ni pa kufichuana.

Menosugu
 
Menosugu unamaanisha aliyeweka hii post ya aibu humu JF ni ndugu yetu Oswald Tibabyekomya wa ofisi yetu ya DPP...duuuh, asitake kutugombanisha na ofisi ya TAKUKURU jamani. Bora umemuumbua aubebe mzigo wa unafiki peke yake na sio kuichafua ofisi yote ya DPP. Aliyoyaandika Oswald humu JF sio maadili ya Ofisi ya DPP napenda kuwahakikishia watanzania...ni tamaa yake ya kutaka kujipatia umaarufu na vyeo...!!!

Kama ulikuwepo, huyu jamma anapenda kujipendekeza mno hata nakumbuka siku moja Mheshimiwa Chenge alimtolea nje baada ya kumpelekea umbea. Ni yeye na ushaidi ambao nimetumia five times privetly ili atubu lakini amekaa kimya.Naona kwa vile alijiunga kwenye forum hii siku hiyo hiyo alipomwaga siri za ofisi hata kusoma PM bado hajui. Invisible labda ampe somo.
 
Kama ulikuwepo, huyu jamma anapenda kujipendekeza mno hata nakumbuka siku moja Mheshimiwa Chenge alimtolea nje baada ya kumpelekea umbea. Ni yeye na ushaidi ambao nimetumia five times privetly ili atubu lakini amekaa kimya.Naona kwa vile alijiunga kwenye forum hii siku hiyo hiyo alipomwaga siri za ofisi hata kusoma PM bado hajui. Invisible labda ampe somo.
Kama wafanyakazi wa ofisi ya DPP ndio takataka namna hii no wonder CCM Inawatumia kama kile kifaa cha kinga. Eeee Mungu tuepushe na hii laana ya kuongozwa na ccm, haijui hata sifa za mtu kuwa mtumishi wa umma
 
Hapana Bintiwangara simlaumu wala kujaribu kuficha ukweli...lakini ni busara watanzania wakaujua ukweli wa mambo kama ulivyo lakini hoja hii inaonesha chuki binafsi za mtoa post...unapokuwa kwenye utumishi wa umma ni vyema maadili ya utumishi yakazingatiwa kwa mambo muhimu ya nchi.

Ukweli ni upi mkuu? Tatizo hizo ofisi zenu za serikali zinafunika mno mambo bila kuangalia kuwa impact ya mwisho ni sie 'watoto wa kufikia' wa hii nchi. Kuna mambo kama ya EPA, bila kutokea wajasiri wachache kufichua hizo 'siri' tungekuwa gizani mpaka majaaliwa...
 
Menosugu unamaanisha aliyeweka hii post ya aibu humu JF ni ndugu yetu Oswald Tibabyekomya wa ofisi yetu ya DPP...duuuh, asitake kutugombanisha na ofisi ya TAKUKURU jamani. Bora umemuumbua aubebe mzigo wa unafiki peke yake na sio kuichafua ofisi yote ya DPP. Aliyoyaandika Oswald humu JF sio maadili ya Ofisi ya DPP napenda kuwahakikishia watanzania...ni tamaa yake ya kutaka kujipatia umaarufu na vyeo...!!!

Jamani Muna uhakika Huyo ni Oswald, Muna ushaidi gani wa kumuhukumu mwenzenu ,acheni kuharibiana kazi jamani. Wakuu mumekosea Ethics za JF. Mods Fanyeni kazi Zenu.
 
Ukweli ni upi mkuu? Tatizo hizo ofisi zenu za serikali zinafunika mno mambo bila kuangalia kuwa impact ya mwisho ni sie 'watoto wa kufikia' wa hii nchi. Kuna mambo kama ya EPA, bila kutokea wajasiri wachache kufichua hizo 'siri' tungekuwa gizani mpaka majaaliwa...
Inasikitisha sana anapokuja mtu halafu anatetea kuficha upuuzi kwa kisingizio cha utumishi bora!!
 
DPP Feleshi atakumbuksa katika historia ya Tanzania kama mwendesha mashtaka wa kwanza kutumika kisiasa kwa kuwabambikizia kesi za ugaidi wapinzani wa kisiasa wa ccm. Kama dpp ameshindwa kujua makosa ya Lwakatare na Kileo sio ugaidi, hawezi kujua kaja Kisena ana makosa, hizi ni porojontu za ofisi dhaifu na isiyo na weledi ya dpp feleshi

Nabii hakubariki kwao, sina shaka na uadilifu na weledi wa DPP.
 
Nabii hakubariki kwao, sina shaka na uadilifu na weledi wa DPP.
Hakuna nabii anayegeuza kesi ya jinai kuwa ya UGHAIDI ili washtakiwa wakose dhamana na kukaa jela katika kesi za kisiasa..

DPP Feleshi sio Nabii bali ni fisadi anayekuwa blackmailed na mafisadi wenzie kwa kisingizio usipofungulia kesi CHADEMA na wewe tutakufuta kazi na kuanika ufisadi wako. Ni heri kuwa maskini na uhuru kuliko kuwa na madaraka makubwa na fedha za kifisadi lakini hauna UHURU. Ningeshangaa sana kama Feleshi angemfungulia kesi mnyantuzu mwenzie Simon Kisena.

Yule Feleshi aliyekuwa mwanasheria wa kanda ya ziwa, aliyekuwa mwadilifu na mweledi ni tofauti na huyu DPP Feleshi ambaye ni fisadi na anabaka demokrasia. Hivi kesi za EPA unazipiga NOLLE lini?
 
Back
Top Bottom