PCB siyo tahasusi ya mchezo

PCB siyo tahasusi ya mchezo

Hiyo sio fact

Sisi tuliingia advance huku class yetu ilikuwa na watu wengi waliopiga one kali hasa kutoka private

Kutoka darasa hilo hilo (same combination) wale waliopata one kali tulikuwa tunawakimbiza na mwisho zillipatikana one tatu, wote ni kutoka day school O level na tulikkuwa na ufaulu wa kawaida (one za mwisho, two)

Hizo combination zinahitaji watu wa kazi,

Japo kwa sasa hazitishii sana
Hao walikuwa wanalishwa na kukaririshwa namna ya kujibu mitihani, mm huwa najiuliza, ivi wale mabinti wa St Fransis huwa wanaishia wapi A level?
 
Hao walikuwa wanalishwa na kukaririshwa namna ya kujibu mitihani, mm huwa najiuliza, ivi wale mabinti wa St Fransis huwa wanaishia wapi A level?
To wa 2021 acsee PCB alimaliza st Francis csee 2018 alikua best student pia
 
Kwa hiyo ndio umedraw conclusion?

Yaani wote wanasoma PC tofauti ni bio na Math

Bio ni somo la kusoma huku umerelax,

NB
Kufanya vizuri level moja hakumaanishi lazima ufanye vizuri level nyingine and vice versa is true

Halafu kwa sasa advance ni rahisi kufaulu kuliko form four, ni rahisi kupiga one kuliko form four
Kwanini iwe rahisi advance kuliko form four!?, Wakati form four ndo rahisi kimtazamo,ikoje hiyo mkuu
 
Back
Top Bottom