PCB siyo tahasusi ya mchezo

PCB siyo tahasusi ya mchezo

Kuna kitu kinaitwa glycolysis stage ..
Ukisoma kwenye BS zipo saba.

Likija pepa linataka tisa mpaka 12 maninaaaaa..

Ujakaa kidogo unakutana na genetics mambo ya pannet square manina
Sijui kuku mwenye kijogoo kataga mayai yenye kishingo.. usenge mtupu
Mm biology ndo sehem ya kupumzikia, chemistry ilinifanya vibaya mno😄😄😄 SEMA nilisoma CBG
 
Hahaha nimekaa kindezi sio? Sema kila kitu nakusudi lake ningesoma engineering ingekua ngumu sana kujiajiri chap chap from 0 na kuanza kupiga visumni kila kitu kina sababu yake.

N.b Nina division I ya 8 shaurilo
Mbona hata mimi nina wani ya nane, kwahiyo umejiajiri kama chinga au??😂

Nakutania tu
 
Back
Top Bottom