Nilifeli mwaka 2012, mwaka ambao walitangaza matokekeo Mara mbili, nikakata tamaa ya kuendelea na shule, nikaingia mtaani nikapata kazi kwenye kampuni mmoja, kwa kubebwa tu, manyanyaso na nikajiuliza nini hatima ya maisha yangu bila Elimu Maana sikupata hata Cheti, japo ninakazi naendesha maisha yangu niliamua kurudia mtihani mwaka Jana, kutokana na Majukumu nikajisemea moyoni wacha nirudie haya matano, kweli nilirudia na namshukuru Mungu nimepata kitu ninachokitaka, naomba mtumie thl wanamaswali zaidi ya elfu KUmi, ilinisaidia sana ukizingatia sikuwa na mda wa kutosha wa kujisomea na kutafuta material