Superfly
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 965
- 1,966
Wakuu kwema? I hope mko poa
Nina 400,000/= hapa nahitaji kununua PC, ningependa mnishauri kwa budget hii
-napata Laptop MPYA yenye uwezo gani? na wapi naweza kuipata?
-Napata laptop USED yenye Uwezo gani? (Kutoka yale maduka wanayouza used laptops)
Naomba mnisaidie katika hili wakuu.
Natanguliza shukurani..!!
Nina 400,000/= hapa nahitaji kununua PC, ningependa mnishauri kwa budget hii
-napata Laptop MPYA yenye uwezo gani? na wapi naweza kuipata?
-Napata laptop USED yenye Uwezo gani? (Kutoka yale maduka wanayouza used laptops)
Naomba mnisaidie katika hili wakuu.
Natanguliza shukurani..!!