talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,188
- 759
Habari zenu wadau wa Uchumi na biashara.
Nielekee kwenye mada moja kwa moja. Nimejikuta nastuck hapa maana kuna biashara naifanya ambapo watu wanabook online na kulipa then nawahudumia. Kumetokea na shida kwenye kupokea malipo yangu kwani ni njia mbili tu zinazotakiwa.
1. Kulipwa kupitia bank ambayo mnaelewa fees zake na ikizingatiwa nimeuza huduma kwa bei ndogo ili kuvutia wateja. Na malipo yanatolewa kwa mwezi na yazidi dollar 50.
2. Kulipwa kwa PayPal ambayo ambayo haina limitation ya time na kiwango cha pesa. Bahati mbaya Tanzania huduma hii ni not applicable.
Wenzangu mnaofanya biashara online mnapokea vipi malipo yenu kwa haraka na gharama nafuu?
Vipi nikidanganya na kufungua account ya PayPal kama Niko nchi jirani account itakubali na itakuwa inapokea malipo bila tatizo?
Naomba msaada maana pesa yangu IPO pending online.
Nielekee kwenye mada moja kwa moja. Nimejikuta nastuck hapa maana kuna biashara naifanya ambapo watu wanabook online na kulipa then nawahudumia. Kumetokea na shida kwenye kupokea malipo yangu kwani ni njia mbili tu zinazotakiwa.
1. Kulipwa kupitia bank ambayo mnaelewa fees zake na ikizingatiwa nimeuza huduma kwa bei ndogo ili kuvutia wateja. Na malipo yanatolewa kwa mwezi na yazidi dollar 50.
2. Kulipwa kwa PayPal ambayo ambayo haina limitation ya time na kiwango cha pesa. Bahati mbaya Tanzania huduma hii ni not applicable.
Wenzangu mnaofanya biashara online mnapokea vipi malipo yenu kwa haraka na gharama nafuu?
Vipi nikidanganya na kufungua account ya PayPal kama Niko nchi jirani account itakubali na itakuwa inapokea malipo bila tatizo?
Naomba msaada maana pesa yangu IPO pending online.