Pay stubs za mshahara wa Rais


Tuilaumu media pia kwa kutomkumbusha Rais au wabunge ili waweze kuhoji, kama yeye amesahau basi ilitakiwa akumbushwe alafu tuone kama hatotoa
 
Tuilaumu media pia kwa kutomkumbusha Rais au wabunge ili waweze kuhoji, kama yeye amesahau basi ilitakiwa akumbushwe alafu tuone kama hatotoa

Ni kweli.

Watu wenyewe hata hawajali.

Ukiuliza kuhusu malipo ya rais wenzio wanakuuliza 'wewe mshahara wake unakuhusu nini'.
 
Ni kweli.

Watu wenyewe hata hawajali.

Ukiuliza kuhusu malipo ya rais wenzio wanakuuliza 'wewe mshahara wake unakuhusu nini'.

Hilo ni tatizo, hatuna development ya habari, matukio mengi yanafunikwa tena ya msingi sana kwa sababu tumekuwa kama homa za vipindi, likiibuka hili watu wanasahau yote

Lakini tungekuwa ni watu makini naamini tungekuwa tunamaliza matatizo mengi sana hata kama matukio yapo mengi kiasi gani
 
tatizo kubwa watanzania wengi na viongozi wa serikali wanaishi na kuongoza nchi kwa hisia..kwaivo jambo likitokea linafunika mambo muhim ya nyuma.
na hii ni hatari sana coz nchi itaongozwa kwa hisia na sio mipango madhubuti
 

..tatizo lingine ni kuwa wa-Tz hatujui haki zetu.

..wananchi wangekuwa wanafahamu haki zao basi wasingeivumilia ccm miaka yote hii.
 

MMatumbi hapa katika ubora wako, eti msimamo wako uko pale pale mshahara wa mtu ni siri ya mtu unang'ang'ania kujua mshahara wa mwanaume mwenzio unataka kumpa nini? Mshahara ni siri yake akipenda kukupa atakuonyesha ila sio lazima na ongea nae vizuri atakwambia tu malipo yake yote kwani nini?
 

Hapana.

Si mishahara yote ni siri.
 
Huwezi kuona tija yake kwa sababu ya kikomo cha upeo wako.

Unajua wewe ni Platnum member humu sasa mshahara wa JPM hauna tija yoyote Zaidi ya tabia zetu za kung'ang'ania watu badala ya kushika policy na hoja. Some times mods walitakiwa wawe wanashusha watu madaraja kutokana na vile wanavyochangia.

Unaelekezwa yapo mambo ya muhimu Zaidi kuliko pay stubs lazima itakuwa kati ya 7-8 digits lakini wacheza soka wanapiga 9 digits kwa wiki in Tzs. Jaribu kufikiri sahihi
 

Dah!

Unasikitisha sana kwa kweli.
 
Vipi na kwenye mshahara [ambao hatuujui] nako atakatwa kodi?
 
Hii ndo imeshatoka tena!

Tulidanganywa na hakuna anayejali zaidi yangu.

Maskini Watanzania. Tunatia huruma.
 
Sasa mtu tu hata katiba aliyo apa kuilinda anaivunja waziwazi
sembuse hili la mshahara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…