Nautafuta sana ule wimbo wa mwanadada Pauline zongo guitar girl, ndoa ya mateso, nimeshindwa kuvumilia kila mwanzo huwa na mwisho wake mwenye nao aniambie nimtumie contact yangu anitumie whatsaap.
Yupo Sana na juzi Kati hapa Kama week tatu zimepita alikuwa live East Africa tv/radio kwenye kipindi Cha dakika kumi za maagamizi planet bongo na alifanya POA sana.video zake zipo YouTube mkuuNautafuta sana ule wimbo wa mwanadada Pauline zongo guitar girl, ndoa ya mateso, nimeshindwa kuvumilia kila mwanzo huwa na mwisho wake mwenye nao aniambie nimtumie contact yangu anitumie whatsaap.
Sahihi kabisa watoto wasiku hizi hawaelewi muziki mzuri ulikuwa unaimbwa kipindi gani ukiupata pia huo wa SAFARI dondosha humuhumuKama unao ule wimbo wake unaitwa SAFARI naomba niwekee na mimi, hawa watoto waliozaliwa miaka hii nyimbo unawekewa kwenye flash disk lazima uulize ni takataka gani hii, kipindi hicho ukishaingia booth unaimba hadi wimbo unaisha sio hawa ukikisea kidogo unaedit
Nadhani Pauline alikua mbele ya wakati, anajua sana Na umri wake si Mkubwa kivile akizidi sana late 30s ama early 40s, anyway..I like and miss her voice!Anapatikana sana Masai club kinondoni
Ndo yule mwenye mwanya wa kutosha?Anapatikana sana Masai club kinondoni
Ndo yule mwenye mwanya wa kutosha?
Ahsante sana na ule wa safari kama unao pia