Pauline Zongo: Mungu angekuwa binadamu, angekuja akashuka hapa akaongea, unajua kwa mfano ukasingiziwa kitu ambacho hujakifanya, inaumiza sana. Situmii Bangi, madawa ya kulevya. Pombe huwa nagusa nisiwe muongo.
Inauma sana , kwa sababu mtu anaongea kitu kama hicho. Twende tukapime si kuna maabara! Tukimaliza mtanlipa? Unanichafua. Hivyo vitu sivitumii, siwezi kumuogopa binadamu hata wakiongea si poa tu, Mungu nimemshirikisha.
Na alikuwa anabisha katu katu kuwa hatumiii angekuwa muwaz mapema tu angesaidiwa Nilikuwa nashangaa wasaniii wenzake wanamwacha tuPauline Zongo: Mungu angekuwa binadamu, angekuja akashuka hapa akaongea, unajua kwa mfano ukasingiziwa kitu ambacho hujakifanya, inaumiza sana. Situmii Bangi, madawa ya kulevya. Pombe huwa nagusa nisiwe muongo.
Inauma sana , kwa sababu mtu anaongea kitu kama hicho. Twende tukapime si kuna maabara! Tukimaliza mtanlipa? Unanichafua. Hivyo vitu sivitumii, siwezi kumuogopa binadamu hata wakiongea si poa tu, Mungu nimemshirikisha.
Madawa lazimq urud kiufupi huwez kuqchq labda upunguzeDah.. drugs sio poa.. yaani alikua kachoka na kazeeka atleat saivi amekua poa.. muhimu asirudi tena alikotoka.
Lakini si wote wanaofika kwenye hizo hatua kwa kupenda kwao, wako waliofikishwa huko kwa sababu tofauti, simtetei ila kama hatuna uhakika tusihukumu.Sidhani kama kuna haja ya kupoteza muda kwa ajili ya wapumbavu walioamua kuharibu miili yao kwa upumbavu wao wenyewe! Ni nini kisichoeleweka kuhusu matumizi ya narcotics? Taifa lina mengi ya kufanya kuliko kupoteza resources na muda unecessarily.
... 90% of our problems chanzo ni sisi wenyewe! Hilo neno ulilotumia ni kujaribu kutafuta wa kumtupia mzigo lakini kiukweli chanzo kikuu cha matatizo yetu ni sisi wenyewe! Alipoanza kutumia madawa ya kulevya kwa mara ya kwanza alishikiwa bastola?Lakini si wote wanaofika kwenye hizo hatua kwa kupenda kwao, wako waliofikishwa huko kwa sababu tofauti, simtetei ila kama hatuna uhakika tusihukumu.
Hata angekubali wewe ungemsaidia chochoteSasa siku ile anakana alikua anamdanganya nani sasa? Pole sana Pauline Zongo na hongera kwa kuvuka mtihani huu mkubwa. Mungu akutangulie
Msanii Pauline Zongo maarufu kwa vibao kama nitakufaje na sister sister akitamba na kina GK, AY na MwanaFA wakiwa East Coast alikumbwa na kadhia ya madawa japokuwa nyakati hizo alikana na kusikitika kusemwa anatumia. Safari yake iliishia sober house na sasa ameimarika na kupendeza, sio Zongo tena ambae mwili wake ulidhoofu kwa madawa ya kulevya. Tasnia ya muziki ina ushindani mkubwa kwa sasa anaweza 'asitoboe' lakini inatoa faraja kumuona kwenye hali aliyonayo.
Pia, soma=> Msikilize Pauline Zongo wa East Coast Team, anasikitisha sana
View attachment 2009843
Kulia ni msanii Pauline Zongo kwenye picha ya karibuni baada ya kupata matibabu dhidi ya madawa ya kulevya
View attachment 2009845
Kipindi ambacho inadaiwa Pauline alikuwa anatumia madawa ya kulevya
Ameshaota meno ya mbele auMsanii Pauline Zongo maarufu kwa vibao kama nitakufaje na sister sister akitamba na kina GK, AY na MwanaFA wakiwa East Coast alikumbwa na kadhia ya madawa japokuwa nyakati hizo alikana na kusikitika kusemwa anatumia. Safari yake iliishia sober house na sasa ameimarika na kupendeza, sio Zongo tena ambae mwili wake ulidhoofu kwa madawa ya kulevya. Tasnia ya muziki ina ushindani mkubwa kwa sasa anaweza 'asitoboe' lakini inatoa faraja kumuona kwenye hali aliyonayo.
Pia, soma=> Msikilize Pauline Zongo wa East Coast Team, anasikitisha sana
View attachment 2009843
Kulia ni msanii Pauline Zongo kwenye picha ya karibuni baada ya kupata matibabu dhidi ya madawa ya kulevya
View attachment 2009845
Kipindi ambacho inadaiwa Pauline alikuwa anatumia madawa ya kulevya