wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,556
I don't judge, All the best.
Ni Kama mziki wa kuacha kupiga puli Maisha yako yote.Kazi sio kuwa clean kazi kumaintain kuwa clean... shuhuli ipo hapo its not easy
Balaaa zito mzeeNi Kama mziki wa kuacha kupiga puli Maisha yako yote.
Unajuaje? Au tunafahamiana? Au hata nikisaidia lazima nijitangaze!??Hata angekubali wewe ungemsaidia chochote
Yah mungu ni mwemaDah.. drugs sio poa.. yaani alikua kachoka na kazeeka atleat saivi amekua poa.. muhimu asirudi tena alikotoka.
Inabidi wewe mwenyewe uamue uachaneKazi sio kuwa clean kazi kumaintain kuwa clean... shuhuli ipo hapo its not easy
Mtandao mkubwa huoDuuu, kumbe Duterte alikuwa sahihi kunyonga wauzaji wa madawa ya kulevya
Mtu yoyote anaweza kuingia huko mzeeSidhani kama kuna haja ya kupoteza muda kwa ajili ya wapumbavu walioamua kuharibu miili yao kwa upumbavu wao wenyewe! Ni nini kisichoeleweka kuhusu matumizi ya narcotics? Taifa lina mengi ya kufanya kuliko kupoteza resources na muda unecessarily.
Huna huo uwezoUnajuaje? Au tunafahamiana? Au hata nikisaidia lazima nijitangaze!??
Umeongea kwa hisia inayoashiria kuwa wewe ni mtimilifu.Sidhani kama kuna haja ya kupoteza muda kwa ajili ya wapumbavu walioamua kuharibu miili yao kwa upumbavu wao wenyewe! Ni nini kisichoeleweka kuhusu matumizi ya narcotics? Taifa lina mengi ya kufanya kuliko kupoteza resources na muda unecessarily.
Sawa, Shukrani!Huna huo uwezo
Apime na ukimwi maana mara nyingi mateja wa kike wanaathirika
Ukijitambua na kujielewa huwezi rudi hukoShida haya madudu sijui yana nini, mana anaweza akakaa kidogo ukashangaa karudia
Sent using Jamii Forums mobile app
You see! We are working on assumptions unless you declare here you were there with her when she "decided" to start taking drugs. Otherwise, you are assuming just as I am assuming.... 90% of our problems chanzo ni sisi wenyewe! Hilo neno ulilotumia ni kujaribu kutafuta wa kumtupia mzigo lakini kiukweli chanzo kikuu cha matatizo yetu ni sisi wenyewe! Alipoanza kutumia madawa ya kulevya kwa mara ya kwanza alishikiwa bastola?
Mh! Watu wataalamu wa kukanusha!Sasa siku ile anakana alikua anamdanganya nani sasa? Pole sana Pauline Zongo na hongera kwa kuvuka mtihani huu mkubwa. Mungu akutangulie
NDIO Nani hivyo mdada?Msanii Pauline Zongo maarufu kwa vibao kama nitakufaje na sister sister akitamba na kina GK, AY na MwanaFA wakiwa East Coast alikumbwa na kadhia ya madawa japokuwa nyakati hizo alikana na kusikitika kusemwa anatumia. Safari yake iliishia sober house na sasa ameimarika na kupendeza, sio Zongo tena ambae mwili wake ulidhoofu kwa madawa ya kulevya. Tasnia ya muziki ina ushindani mkubwa kwa sasa anaweza 'asitoboe' lakini inatoa faraja kumuona kwenye hali aliyonayo.
Pia, soma=> Msikilize Pauline Zongo wa East Coast Team, anasikitisha sana
View attachment 2009843
Kulia ni msanii Pauline Zongo kwenye picha ya karibuni baada ya kupata matibabu dhidi ya madawa ya kulevya
View attachment 2009845
Kipindi ambacho inadaiwa Pauline alikuwa anatumia madawa ya kulevya