Kuna zile kashfa za chadema juu ya Lowasa!
..zipo kwenye kumbukumbu.
Kuna zile kashfa za chadema juu ya Lowasa!
Jamaa ni li nafiki la kiwango cha lami ,ameshasahau alimsababishia lowasa hiyo kashfa hadi familia ikaingilia kati..Nakumbuka Makonda alivyomtengenezea Lowassa kashfa ya kuzaa nje ya ndoa na kutekeleza mtoto.