Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Ogopa sana mtu anaekutuza na kujipendekeza kwako badala ya Mungu
Mtu akiniita Tajiri, boss, mfalme, baba mzazi wakati hata hana ukaribu na mimi
Wote hao huwa nawajua ni wanafiki wanaotafuta kitu kwa maslahi yao tu
Hapo lina njaa linatafuta mlo
 
Habari wana Jf
Kama ilivyo kawaida nimechunguza sana Kwa nini ndugu poul makonda anachukiwa sana,na watanzania wenye huo umri nilioutaja hapo.
Nimegundua ni kupitwa kwa mafanikio,nimekuja kuona wanatanzania kinachotusumbua ni wivu wa mafanikio ya mtu.

Leo hii hata makonda akiongea jema vipi bado watanzania wataendelea kumsakama acheni wivu huo na roho mbaya poul makonda mungu kampa kipaji cha kuongoza watu na anavitu vingi sana kwake na kama watanzania tunatakiwa kujifunza kupitia yeye poul makonda.

Chukua hii Kama hamjui

Kitendo cha Rais @SuluhuSamia kumrudisha Makonda kwenye siasa ni kwasababu kuna mahali amezidiwa nguvu. Makonda ni yule kijana asiye na soni, mwenye kufanya/kuongea yale ambayo wakubwa hawawezi kuyaongea wenyewe.
Hapa, Makonda ni kipaza sauti tu,na anakipawa cha uongozi

Ukweli nimefurahi sana mh rais wetu wa JMT kumchagua poul makonda kurudishwa katika nafasi inatakiwa Tanzania tupate vijana Kama 50 au 100 Kama alivyo poul makonda hii nchi tungekuwa mbali sana.

Watanzania tuigeni mfano kwa ndugu mh.poul makonda tuacheni wivu na chuki tufanyani kazi kutwa tunamtaja makonda bora tungemtaja kwa mema ila Watanzania tunamtaja makonda kana kwamba yeye sio binadamu kila baya anatupiwa yeye.

Watanzania wooote inatakiwa tumuunge mkono poul makonda,huyu ni adhina ya taifa.
Ahsante mh.raisi kwa kumrudisha ndugu poul makonda huyu atakusaidia sana katika kuijenga nchi.

Sisi wengine tumekalia kukosoa na kupiga majungu.
Mungu mlinde ndugu poul makonda
Mungu mlinde mh raisi wetu JMT

NAKARIBISHA MAONI.
KIKUBWA ACHANENI NA WIVU WA PAMOJA NA ROHO MBAYA.
Kwa utafiti upi?
 
Habari wana Jf
Kama ilivyo kawaida nimechunguza sana Kwa nini ndugu poul makonda anachukiwa sana,na watanzania wenye huo umri nilioutaja hapo.
Nimegundua ni kupitwa kwa mafanikio,nimekuja kuona wanatanzania kinachotusumbua ni wivu wa mafanikio ya mtu.

Leo hii hata makonda akiongea jema vipi bado watanzania wataendelea kumsakama acheni wivu huo na roho mbaya poul makonda mungu kampa kipaji cha kuongoza watu na anavitu vingi sana kwake na kama watanzania tunatakiwa kujifunza kupitia yeye poul makonda.

Chukua hii Kama hamjui

Kitendo cha Rais @SuluhuSamia kumrudisha Makonda kwenye siasa ni kwasababu kuna mahali amezidiwa nguvu. Makonda ni yule kijana asiye na soni, mwenye kufanya/kuongea yale ambayo wakubwa hawawezi kuyaongea wenyewe.
Hapa, Makonda ni kipaza sauti tu,na anakipawa cha uongozi

Ukweli nimefurahi sana mh rais wetu wa JMT kumchagua poul makonda kurudishwa katika nafasi inatakiwa Tanzania tupate vijana Kama 50 au 100 Kama alivyo poul makonda hii nchi tungekuwa mbali sana.

Watanzania tuigeni mfano kwa ndugu mh.poul makonda tuacheni wivu na chuki tufanyani kazi kutwa tunamtaja makonda bora tungemtaja kwa mema ila Watanzania tunamtaja makonda kana kwamba yeye sio binadamu kila baya anatupiwa yeye.

Watanzania wooote inatakiwa tumuunge mkono poul makonda,huyu ni adhina ya taifa.
Ahsante mh.raisi kwa kumrudisha ndugu poul makonda huyu atakusaidia sana katika kuijenga nchi.

Sisi wengine tumekalia kukosoa na kupiga majungu.
Mungu mlinde ndugu poul makonda
Mungu mlinde mh raisi wetu JMT

NAKARIBISHA MAONI.
KIKUBWA ACHANENI NA WIVU WA PAMOJA NA ROHO MBAYA.
Kwa sababu wa chini ya umri huo Bado nyie Mko kwenye foolish age mnaongozwa na mihemko na ni rahisi kuwa manipulated na Wanasiasa wanaojua siasa za ulaghai kama kina Makonda and the likes.

Kuanzia umri huo ni watu waliopevuka wanajua nyie wajinga mnafanywa ngazi huku mnachekelea Kwa sababu hamjitambui.
 
Tarehe 13 mwezi uliopita, Ikulu jijini Dar es Salaam, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan alitoa msimamo wake kama mkuu wa nchi na wa CCM kuhusu 'makundi' na 'watoto' wake kisiasa.

Katika hafla ya kuwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua, Rais Samia alisema kwa umakini, umadhubuti na wazi kabisa kuwa yeye hana makundi wala watoto ndani ya chama chake na Serikali.

Rais Samia akaenda mbele na 'kuwakemea' wote wanaojitanabaisha kuwa ni watoto wa Mama au wa kundi la Mama. Alihitimisha kuwa viongozi wote kwa ujumla wao ni watoto wake.

Jana, kwenye Maadhimisho ya Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania, Hayati Edward Moringe Sokoine, RC Makonda amesikika akijitanabaisha kuwa yeye ni mtoto wa Rais Samia. Amesikika mara mbili akisema 'Mama yangu' kwenye kauli zake, tena mbele ya Rais Samia.

Kwanini Makonda atofautiane na kukinzana na msimamo wa Rais Samia kwa kujitaja kama 'mtoto wa Mama Samia'? Makonda alilenga au analenga nini?
Ana matatizo ya akili.
 
Hivi ni lini mtaniheshimisha na hata Kunijengea Mnara wangu GENTAMYCINE hapa JamiiForums? Mna uhakika kuwa sikuwahi Kuanzisha Uzi hapa hapa JamiiFoums tena nikisema na kuna mahala nikayafumba Majina ya hawa hawa waliotajwa jana na Makonda na baadhi ya Intelligent Members hapa wakayajua?

Mna uhakika kabisa hakuna Uzi hapa JamiiForums wa mwaka Juzi au mwaka Jana ambao GENTAMYCINE niliuandika tena kwa kumtaka Mheshimiwa Rais Samia awe makini sana na Watu wanaomzunguka na kumtaka awe nao makini na tena Kimafumbo kabisa na hadi kule Kijiweni Kwao Mbezi Beach wanakokaaga nikawataja?

Nasisitiza tena kubalini tu kuwa kuna Watu wengine hapa duniani hatukubarikiwa tu Akili Kubwa bali tuna Maono pia. Hivi mnadhani GENTAMYCINE kuwa na Signature yangu hii pendwa na Tukuka ya "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Enterainer" nilikurupuka tu? Signature yangu inaelezea Uhalisia wangu.
 
Katiba ya Tanzania inatamka na kutambua kuwa Rais ndiye mkuu wa nchi, Amiri jeshi mkuu na mtendaji mkuu wa Serikali yeye ni mwenye mamlaka makubwa katika nchi hii anaweza kuwa symbolic leader(queen) kulingana na katiba yetu.

Inasikitisha sana kuona mtu wa kwenye chama chako ambaye pia amekuajiri unamkebehi na kumfanyia dhihaka pamoja na matusi hivi hata kama unajiona wewe ndiyo baba ako,babu au bibi yako amemuweka rais kwenye hicho kiti haimaanishi kumtukana YEYE umeitukana mamlaka aliyopewa na umewatukana watanzania wote.

Hili la Makonda siyo kwamba jamaa karopoka hapana ila toka Rais alipoingia madarakani naye alituma ujumbe wengi wanafikiria kuhusu kina bashiru ila ukweli lipo kundi jengine ambalo lipo against na MAMA hivyo nadhani kuna watu watajifanya kumsema Makonda ila ukweli usemwe jamaa yupo sahihi.

NAWASILISHA.
 
Habari wana Jf
Kama ilivyo kawaida nimechunguza sana Kwa nini ndugu poul makonda anachukiwa sana,na watanzania wenye huo umri nilioutaja hapo.
Nimegundua ni kupitwa kwa mafanikio,nimekuja kuona wanatanzania kinachotusumbua ni wivu wa mafanikio ya mtu.

Leo hii hata makonda akiongea jema vipi bado watanzania wataendelea kumsakama acheni wivu huo na roho mbaya poul makonda mungu kampa kipaji cha kuongoza watu na anavitu vingi sana kwake na kama watanzania tunatakiwa kujifunza kupitia yeye poul makonda.

Chukua hii Kama hamjui

Kitendo cha Rais @SuluhuSamia kumrudisha Makonda kwenye siasa ni kwasababu kuna mahali amezidiwa nguvu. Makonda ni yule kijana asiye na soni, mwenye kufanya/kuongea yale ambayo wakubwa hawawezi kuyaongea wenyewe.
Hapa, Makonda ni kipaza sauti tu,na anakipawa cha uongozi

Ukweli nimefurahi sana mh rais wetu wa JMT kumchagua poul makonda kurudishwa katika nafasi inatakiwa Tanzania tupate vijana Kama 50 au 100 Kama alivyo poul makonda hii nchi tungekuwa mbali sana.

Watanzania tuigeni mfano kwa ndugu mh.poul makonda tuacheni wivu na chuki tufanyani kazi kutwa tunamtaja makonda bora tungemtaja kwa mema ila Watanzania tunamtaja makonda kana kwamba yeye sio binadamu kila baya anatupiwa yeye.

Watanzania wooote inatakiwa tumuunge mkono poul makonda,huyu ni adhina ya taifa.
Ahsante mh.raisi kwa kumrudisha ndugu poul makonda huyu atakusaidia sana katika kuijenga nchi.

Sisi wengine tumekalia kukosoa na kupiga majungu.
Mungu mlinde ndugu poul makonda
Mungu mlinde mh raisi wetu JMT

NAKARIBISHA MAONI.
KIKUBWA ACHANENI NA WIVU WA PAMOJA NA ROHO MBAYA.
Una elimu gani?
Uliipata wapi?
Mwaka gani?
Matokeo yako yalikuaje?
2. Ulishawahi kufanya utafiti? Lini wapi? Lengo na madhumuni ya utafiti wako ilikuwa nn?
3. Uliwahoji watu wangapi?
Najua huwezi kujibu hayo maswali. Wewe ni ka UVCCM kadogo kapo kanafagia choo hapo lumumba
 
Tamko alilotamka Mkuu wa Mkoa wa Arusha ni tamko mbaya sana na linaleta uchochezi na chuki. Ni aibu kutamka mbele ya kadamnasi ya watu kuwa kuna watu wanamtukana Mhe. Rais. Jambo hili alitakiwa amueleze Mhe. Rais kwa siri kubwa. Mhe. Rais Mkuu wa Mkoa wa Arusha hakufai ni bora umtumbue mapema atakuletea uadui mkubwa na Watanzania. Kikubwa anajipendekeza kwako.
Atafutiwe li-pampas likubwa avalishwe huyu bwana.
 
Kwa mfumo wa CCM Rais 2025- 2030 ni Samia tu. Labda aseme yeye hapana! Hilo sio jambo linalohitaji mjadala.

Kuhusu Makonda yeye kujadiliwa ni uthibitisho kuwa hafai na ni aibu kwa mtu anayemkumbatia.
Uzi ufungwe. Umemaliza hoja zote
 
Wee thubutu...Nyie wapuuzi wachache mnaolipwa na Makambanape ,ndo mpo mitandao.

Peleka huko uongooo wako lione, kitu zimaa liongoooo


Mikutano ya Makonda akiwa Mwenezi, bila kua na Msanii hata Mmoja, alijaza, hakujaza????
 
Back
Top Bottom