cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 87,134
- 139,998
Boraa wee umejua hili, anawekwa ili watu waachane na Mkataba wa bandarii. LolInaweza kuwa kweli ili kuzima moto wa diipiii
Boraa wee umejua hili, anawekwa ili watu waachane na Mkataba wa bandarii. LolInaweza kuwa kweli ili kuzima moto wa diipiii
Sasa ulitaka amuogope nani wakati yeye alikuwa mtoto pendwa na mtumwa mwaminifu wa mwendazake.Binafsi naipenda attitude ya PM ya kujaribu, ubunifu na kutokuogopa. Nilijifunza mengi kwake. Ila kiburi sikupenda hata kidogo!
Sukuma Gang wanatisha sana!kigogo na yeye ametabiri hivoView attachment 2682596
Kitengo maalumu cha kudhibiti wasema hovyo ni kipii?? Hebu fungukaa.Huyo wanachama wa CCM hatutaki hata kumuona CCM.
Kama mama anamtaka ampe kazi serikalini, kitengo maalum cha kudhibiti wasema hovyo.
Huyo wanachama wa CCM hatutaki hata kumuona CCM.
Kama mama anamtaka ampe kazi serikalini, kitengo maalum cha kudhibiti wasema hovyo.
Acha bwana. Haiwezekani Paul akae na kina Kinana kabisa. Anyway, never say never.
Haya maisha tuyaache tu kama yalivyo, yana namna ya kutufunza na kutu surprise kila sikuAcha bwana. Haiwezekani Paul akae na kina Kinana kabisa. Anyway, never say never.
Tunawaita Kitenge, Zembwela na Mwijaku wakufanyie interviewZamu yake ilishapita hatupaswi kurudi huko, akipewa nafasi hiyo nitarudisha kadi yangu mchana kweupe tena mbele ya vyombo vya habari!.
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Na ile marufuku ya kukanyaga Marekani ingali ipo?Mama ameshaanza tambua nguvu ya jpm kwenye mfumo!!
Makonda mtu poa sana!
Sema ana TATIZO FULANI la kisaikolojia tokana na makuzi ya utotoni ya hustling!!
SASA ni Rasmi tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu 2025!!
Anaenda kuwashughulikia watu FULANI!!
hayo ni mawazo yako na upo huru nayo. Mimi nani nikubishie kwa hilo?Alishakwambia hakuna mtu anayekula raha duniani kama yeye.
Angekuwa muabudu mwezi mwenzio ungempigia chapuo!Huyo wanachama wa CCM hatutaki hata kumuona CCM.
Kama mama anamtaka ampe kazi serikalini, kitengo maalum cha kudhibiti wasema hovyo.
Kapwaya sanaIla bi Sophia mjema nae kdg kapwaya
Tuheshimiane.Angekuwa muabudu mwezi mwenzio ungempigia chapuo!
Tunawaita Kitenge, Zembwela na Mwijaku wakufanyie interview
Ngoja tuone kama nchi yetu imegeuka mali ya ukoo!.Aisee DAB nasikia alimtabiria Mama Urais, huenda anasogezwa atabiri tena.