Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,971
- 79,728
Ila bi Sophia mjema nae kdg kapwaya
Kujibu hoja au kutoa kejeli? Lini CCM ikawa na watu wenye hoja? Embu kitulizeKuna tetesi kwamba aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kesho atatangazwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM.
Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kujibu hoja pengine kuliko Wabunge na Mawaziri wote wa CCM.
Ngoja tuone!
😂😂😂 UmeshapanicNdiyo maana watu wa maana wameiasi JF kwa sababu ya watu kama nyinyi. Nimekutana na mtu mmoja Tweeter anauliza kama JF bado ina exist. Anasema kule kumejaa takataka!
Three The Hardway Makonda - Happi - SabayaMuda wa kwenda Kimara KKKT kusali Huu, achana na hayo majizi. Amuulize Sabaya kule aliko
Anadai huku kumejaa takataka, so anatumia Tweeter ambayo haina takataka?Ndiyo maana watu wa maana wameiasi JF kwa sababu ya watu kama nyinyi. Nimekutana na mtu mmoja Tweeter anauliza kama JF bado ina exist. Anasema kule kumejaa takataka!
CCM ni takatakaThree The Hardway Makonda - Happi - Sabaya
Zembwela &co wanakwenda likizo ya lazima 😃😃
Tweeter hii iliyojaa ngono si afadhali kidogo JFAnadai huku kumejaa takataka, so anatumia Tweeter ambayo haina takataka?
SahauIla kuna siku makonda atarudishwa kwenye mfumo maana naona upepo umetulia yani shwari kabisa. Pole yake sabaya
Twitter ndo kumejaa takatakaNdiyo maana watu wa maana wameiasi JF kwa sababu ya watu kama nyinyi. Nimekutana na mtu mmoja Tweeter anauliza kama JF bado ina exist. Anasema kule kumejaa takataka!
VIPI SABAYA wangempa UWEKA HAZINA wa CCM itapendeza sanaKuna tetesi kwamba aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kesho atatangazwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM.
Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kujibu hoja pengine kuliko Wabunge na Mawaziri wote wa CCM.
Ngoja tuone!
kigogo na yeye ametabiri hivoKuna tetesi kwamba aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kesho atatangazwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM.
Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kujibu hoja pengine kuliko Wabunge na Mawaziri wote wa CCM.
Ngoja tuone!
Marekani ni mungu gani mpya ? Acheni kutukuza watu wanaouana kizembe kwa bunduki kila siku! Wanajua haki ya kuishi wangemilikisha bunduki hadi kwa vichaa? 🙏🙏🙏Ni ndoto Samia kumrejesha kwenye system mtu aliyetajwa na marekani kuwa ananyima watu haki ya kuishi.
Kule identity za watu zinajulikana hivyo facts ndizo zinaandikwa. Hapa ni takataka tupu kutoka kwa watu takataka with some few exceptionsAnadai huku kumejaa takataka, so anatumia Tweeter ambayo haina takataka?
Ukiwa kwa wastarabu unakuwa mstaaratu. Sijaona hoja ya kujibu ............Hoja ya bwana Retired ni Ad hominem argument.
Imejikita kushambulia utu wa mtu badala ya hoja iliyowasilishwa.
Sisi vijana, tunakosa kitu cha kujifunza kutokana na jibu lake.
Hakuna aliyewahi kubashiri Hatua za Rais Samia,so hata wewe hapa unaleta ni tetesi tuu.Kuna tetesi kwamba aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kesho atatangazwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM.
Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kujibu hoja pengine kuliko Wabunge na Mawaziri wote wa CCM.
Ngoja tuone!
MjemaNaunga mkono hoja! Sophia Mgema amepwaya mno.