Utarudisha kadi yako ya Ufipa kwa ccm?
"Adui yako akikusifia kwa maamuzi yako, kuwa na mashaka, lakini akikuponda ujue umemtwanga" JPM
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Utarudisha kadi yako ya Ufipa kwa ccm?
"Adui yako akikusifia kwa maamuzi yako, kuwa na mashaka, lakini akikuponda ujue umemtwanga" JPM
Aisee hataree sana!.Tangu lini maccm wakawa na aibu?
Alirudisha lowasa sembuse wewe, usirudishe Tupac kabisa, CCM inamhitaji makonda mchapa kaziii
ngoja tusubiri tuone!.Nitakukumbusha muda ukifika.
Kuna wakati hata zile tetesi unajikuta unaanza kuziamini!Mtu anayetuhumiwa na taifa kubwa duniani kukatisha maisha ya watu Leo una mweka kwenye serikali yako,Sidhani kama Mama anaweza kurisk Kwa kiwango hicho,
Hivi nchi yetu ina matatizo gani jamaniKuna tetesi kwamba aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kesho atatangazwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM.
Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kujibu hoja pengine kuliko Wabunge na Mawaziri wote wa CCM.
Ngoja tuone!
Hivyo nawe ni takataka!Ndiyo maana watu wa maana wameiasi JF kwa sababu ya watu kama nyinyi. Nimekutana na mtu mmoja Tweeter anauliza kama JF bado ina exist. Anasema kule kumejaa takataka!
wamlete tu ili wakumbushe machungu kwa wananchi kwa yale aliyowatendea. naona wanazidi kujimwagia upupu kwaajili ya uchaguzi wa 2025, watapata tabu sana.Kuna tetesi kwamba aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kesho atatangazwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM.
Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kujibu hoja pengine kuliko Wabunge na Mawaziri wote wa CCM.
Ngoja tuone!
Bashite =Musiba...hawawezi kufanya kazi na KinanaAcha bwana. Haiwezekani Paul akae na kina Kinana kabisa. Anyway, never say never.
Hivi watu hawamjui Makonda?!Kuna tetesi kwamba aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kesho atatangazwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM.
Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kujibu hoja pengine kuliko Wabunge na Mawaziri wote wa CCM.
Ngoja tuone!
Namfananishe na huyu "mcheza ngoma" mkuu wa mkoa wa Dar. Uwezo mdogo sana wa kufikiri. Ni aina ya watu wanaoishi kwa ujanja ujanja tu. Opportunists.Bashite atazua balaa katika nchi. Aachwe tu atulie.
John ebu uwahi kanisani wakuombee, hata hujui CCM kiundani kumbe...
Mama Samia, Raiz wetu, hawezi fanya huo uteuzi wa kijinga hivyo, hata milele yote.
Kasoro zake ni fatal huwezi ku repairNi mtendaji,mfuatiliaji na msimamizi mzuri!
Kasoro zake ni za kibinadamu tu kama ilivyokuwa kwa jiwe