Paul Makonda kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM!

We na chawa wenzako furahieni kwa vile mnaongozwa na mama lichafu sioni la ziada zaidi ya kuhitimisha ukweli na uhovyo wa wahusika
Mimi sifurahii uwepo wa makonda, lakini sipendi mtu aropoke asivyokuwa na uhakika navyo au hana cha kufanya kusababisha kisemwacho kitokee au kisitokee..!!
 
Haiwezekani bwana mdogo. Mama mbona angekuwa ashampa nafasi kitambo tu, ila Mzee wa Arusha agreed to be back and work with her on one condition, na hio condition ndo inamfanya Daudi akae benchi.
Kula matapishi yako
 
Back
Top Bottom