Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,204
- 3,009
Wiki hii nilikuwa wilayani Itilima kikazi, hii ni wilaya ipo nyuma mno kimaendeleo, na ni wilaya iliyona wasukuma tu.
Basi katika kupitapita mtaani, nilikutana na watu wengi wanalalamika kuwa siku hizi umeme ni shida mnoo, maji ni shida, hospitalini nasikia kunanuka sana rushwa hapo Itilima. Yaani wanasema Samia hawasaidii chochote kama alivyokuwa JPM, lawama zote wanamlaumu Rais Samia.
Yaani Samia uku Simiyu kazi anayo saana, watu wakiona shida yeyote wanasema yeye ndo kasababisha.
Nauliza uteuzi wa Makonda na Biteko utamfanya Samia apendwe kanda ya ziwa?
Basi katika kupitapita mtaani, nilikutana na watu wengi wanalalamika kuwa siku hizi umeme ni shida mnoo, maji ni shida, hospitalini nasikia kunanuka sana rushwa hapo Itilima. Yaani wanasema Samia hawasaidii chochote kama alivyokuwa JPM, lawama zote wanamlaumu Rais Samia.
Yaani Samia uku Simiyu kazi anayo saana, watu wakiona shida yeyote wanasema yeye ndo kasababisha.
Nauliza uteuzi wa Makonda na Biteko utamfanya Samia apendwe kanda ya ziwa?