MSHERWAMPAMBA
JF-Expert Member
- May 22, 2014
- 341
- 119
MH!17 na kuhusishwa na Vladimin Putin rais wa serikali ya Russia hivi sasa baada ya tuhuma zinazomkabili kiongozi huyo kwa support kubwa anayptoa dhidi ya serikali ya ukraine,inavyosemekana chombo kilichotumika kuipiga ndege ya kiraia kilitokea nchini kwake pamoja na order zote,case ka hii inafanana sana na case ya rais Paul Kagame wa Rwanda kwa mauaji aliyoyaamrisha na kupelekea kuuawawa kwa rais hayati Habyarimana,ile case ni lazima irudishwe tena na wahusika wote ni lazima wapandishwe mahakamani kujibu shtaka la mauaji ya kukusudia.Ka mtaiangalia hii case dhidi yao vizuri hata M7 naye atahusishwa kabisa.Kama warusi wanashutumiwa hivi je itakuaje kanchi na vijiongozi vyake kama vile Kaguta Museven pamoja na rafiki yake mpenzi au brother wake wa utusi wasikamatwe na kufikishwa mahakama ya dunia kujibu shtaka la mauaji?.Tungewajadili hawa criminals wapya wa Africa.