Duuuh kweli afadhali rais asingevunja baraza la mawaziri maana mawaziri wa sasa wana sifa balaa na hii itakifanya chama cha Mapindizi kung'ara na kufanya kazi 2015 kuwa pevu tena.
Too bad for them. Lakini kama kuwamwaga kutalinusuru shirika hili, ni sawa.
Swali la uzushi: Mwakyembe kamtoa Chizi kamweka Lusajo, je ni ukabila unafanya kazi?
Duuuh kweli afadhali rais asingevunja baraza la mawaziri maana mawaziri wa sasa wana sifa balaa na hii itakifanya chama cha Mapindizi kung'ara na kufanya kazi 2015 kuwa pevu tena.
Jamani hawa mawaziri hawa wezi kushikamana na kumsimamisha kazi kikwete?
Inaonekana lazima kuna kifungu flani cha sheria kinacho weza kutumika.