Paul Chizi wa ATCL asimamishwa kazi

Mizizi ya matatizo haitatatuliwa kwa kutaka misifa. Chizi anatoka kwenye aviation industry toka enzi za KIMAFA na Nundu. Kinachofanyika kwa wenye fani yetu, tunaona kama ni kuweka mkokoteni mbele ya punda. Anzia Ikulu hadi hapo wizara ya uchukuzi maamuzi yakitaalamu yanafanyika kisanii. Mbona Katibu Mkuu na kushindwa kwake kuiongoza secta ya uchukuzi haguswi? Jiulizeni ana taaluma gani na katokea wapi? Dokezo tu katokea Madini wakati JK ni waziri wa madini mengine jazia.
Hitimisho ni R.I.P ATCL kwa hasira za JK na mshika wake Mataka
Captain Lazaro pia yuko kwenye Aviation Industry tangu defunct East African Airways. Kwahiyo si mgeni kwenye aviation industry! Ninaamini anao uwezo mkubwa tu.
 
hahahahahaha kila mtu anatetea ugali wake atii,sa kama kina chami na ngeleja
wako mtaani tuu ,ila wanatakiwa wakamuliwe vijisenti vyetu vyooote
ili wajue huku mtaani si kuzuri asee

QUOTE=King Kong III;3998301]Du mbona mawaziri wanatema cheche sana haaa isje ikawa changa la macho?? Kusimamishwa haitoshi kama wameliingizia hasara taifa lazima wapelekwe kwa pilato![/QUOTE]
 
huyu chizi hakutakiwa kuwepo hapo atcl
make alifanya manyangunyangu ya kutisha kule south africa aiseeeeee safi sana kama ni kweli
umeondolewa kiukwee,isije ikawa watu wanataftiana ulaaji mwisho wa ubaya unakuwaga aibu mwa
Lusajo M Lazaro! M=Mwakyembe or any other Mwa....! Itakuwa huyu ndie kampiga jungu CHIZI
 
kama kweli kuna shirika lilihitaji ubinafsishaji basi ATCL lilikua ndio haswa linauhitaji uo!
 
Nimefurahishwa na comment za Mnama unaonekana unaelewa mambo ya Industry hii.Hawa watu wameanza last year agosti ambao ni mwaka huu wa fedha ambao utaisha 30 June.Auditing itaanza August mpaka Disemba 31 2012 ambayo ni siku ya mwisho kwa serikali kuu,mitaa,na govt agencies.Sasa unapoanza kutoa tuhuma eti matumizi mabaya umejuaje ? umeaudit tayari ? au sabau Management imejitahidi na kuagiza ndege bila kuwashirikisha kwani mngeweka mambo ya chajuu na kuongeza gharama za kukodi (kama ile Airbus ambayo kiukweli kwa mwezi haizidi dola 80,000 lkn watu wa wizara waliweka vyao mpaka ikawa inakodiwa kwa dola 370,000 na huyu katibu mkuu aliyesaini barua alikuwepo toka enzi hizo) sasa ndo hasira zimewashika na kudai eti taratibu zimekiukwa.Mbona aliyekiuka hajafukuzwa ? Hili pia lina muendelezo wa bifu la Nundu Vs watendaji wengine wa wizara kisa Nundu na Chizi walikuwa ATCL toka shirika linaanza 1977 kwahiyo wameingizana kirafiki.Wanaojua taratibu wa ku appoint CEO wa Govt agency wanaelewa mambo vizuri tu kwamba hakuna room ya kuchakachua na mpaka watu wa intelligency wanahusishwa.
Maamuzi kama haya yatanufaisha mashirika mengine ya watu binafsi ingawa najua hata huyo Capt Lusajo anapigwa vita kwani kama director wa operations wewe ni Injini ya shirika

Namalizia kwa kusema kwamba TZ hakuna Viongozi kwa sasa hata huyo mnayemsifu hapa wote wanawaza uraisi 2015
 
ni tatizo si kidogo huyo chambo ni tatizo kwelii,lakini yana mwisho hata kama kuna anaemlinda asisahau kuna aliye na nguvu juu ya yote ndiye aliyeiumba tanzania na watu wake.
 
Captain Lazaro pia yuko kwenye Aviation Industry tangu defunct East African Airways. Kwahiyo si mgeni kwenye aviation industry! Ninaamini anao uwezo mkubwa tu.

Issue siyo majina ya watu ndiyo maana taifa linadidimia. Issue iko pale pale kuwa maamuzi ya kitaalam yanafanywa kisiasa
 
Back
Top Bottom