naona kila waziri ameanza kwa mbwembwe za kusimamisha watu.. Hii kweli itasaidia kusimama kwa hili shirika?
Du!, unanikumbusha mbali!. Nilikuwepo harusini na MC wa harusi yao ni mwana jf mwenzetu!.Kapteni Lusajo Lazaro ana uzoefu wa kuwa Shemeji wa Le~Mutuuuz Le Baharia.
naona kila waziri ameanza kwa mbwembwe za kusimamisha watu.. Hii kweli itasaidia kusimama kwa hili shirika?
Mchadema nini tena mmeanza kuchanganyikiwa na utendaji wa serikali sikivu ya CCM.
Lusajo M Lazaro! M=Mwakyembe or any other Mwa....! Itakuwa huyu ndie kampiga jungu CHIZIToo bad for them. Lakini kama kuwamwaga kutalinusuru shirika hili, ni sawa.
Swali la uzushi: Mwakyembe kamtoa Chizi kamweka Lusajo, je ni ukabila unafanya kazi?
Actually hata mimi nimejiuliza swali hili; wasingeweza kusimamishwa bila kuatngazwa? au kuna kanuni inayoelekeza kutangaza kwa vyombo vya habari? Nampenda mwana siasa anayefanya kazi yake kwa umakini mkubwa bila kuhitaji kazi yake ionekane, kwa maana kama kuna tuhuma, sheria itachukua mkondo wake; ukweli utajulikana, na hatimaye, ama watuhumiwa watakuwa declared guilty na kuswekwa lupango au watakuwa "not guilty" na kuachwa huru na kulipwa fidia zao. Binafsi sioni ulazima wa kutoa taarifa kwa umma kwa tuhuma peke yake. sisi wananchi tunataka wezi wakamatwe washughulikiwe na kisha wawekwe ndani, basi!Was it necessary taarifa hii kutolewa kwa vyombo vya habari?
Kwa muundo wa ATCL kama Shirika la Serikali sioni kama litasimama wima.Vunja shirika uza mali zake achana nalo.ATCimekuwa njia ya kuvuja mali za umma.Ni aibu kuitwa shirika la Ndege la Taifa.Shirika uongozwa na Menegimenti ikiwajibika kwa bodi ya wakurugenzi.Kilicho machoni mwetu ni Crises Committee ya Wizara.naona kila waziri ameanza kwa mbwembwe za kusimamisha watu.. Hii kweli itasaidia kusimama kwa hili shirika?