Patrobas ni pengo kubwa CHADEMA

Tangu hiyo juzi aliondoka mbona kampeni zetu zimeendelea na nyomi za kufa mtu mpaka hapo hujaisoma tu kama chadema ni taasisi iliojengwa kwa muda mrefu kwa msingi mnene wa kuhimili vimbunga na mafuriko
 
Hoja ya chadema ni taasisi ni dhaifu sana taasisi inatakiwa kuongozwa na watu imara na wenye malengo mamoja ya kufikia kile walichokusudia,taasisi hii yenye mipasuko kila eneo taasisi gani labda ya kibao kata!
Mipasuko waiona wewe? Wachekesha kama shetani kujaribu kumshauri malaika.
 
Aliondoka dr Slaa na tukaendelea

Ungekuwa na akili ungejua haya ni matokeo ya kuondoka kwake. .....hamjawahi kuendelea bali mmekuwa wenye maumivu makali mpaka kesho...mnajifariji.....
Mnapolisikia jina ni kama mkuki unaowachoma moyoni.
Tulia wakati ukuta.
 
Ni kama tu Nyalandu na Lowassa, hawa nao ni pengo kubwa kwa CCM maana ilitumia muda wa kutosha kuwashambulia.
 
Tangu hiyo juzi aliondoka mbona kampeni zetu zimeendelea na nyomi za kufa mtu mpaka hapo hujaisoma tu kama chadema ni taasisi iliojengwa kwa muda mrefu kwa msingi mnene wa kuhimili vimbunga na mafuriko

Hahaha...........
Tatizo wote mnaojibu leo ni makarai,wasaidizi wa mjenzi wako hoi.....Nenda ufipa ni msiba.
Nimepita pale jana mmmmmm
Nikawaonea huruma......
 
Makarai watakuambia huyo mzigo lakini wamesahau makarai yote walimchagua huyo kama karai kiongozi Leo wanatoka na povu
Ndio jadi yao angalia walivyosahau mema ya dr slaa mpaka leo hii wanayumba kumpata mbadala!
 
Huyo ni pengo la mdomoni halina madhara yeyote,aliondoka slaa wabunge aliacha 18 leo wko 45
Hao wabunge aliwaandaa nani?
Ngoja jibu la kuondoka kwake utaliiPata zaidi soon ,kama bado macho yako hayaoni.
Wakati ukuta.
Time is the best teacher
 
Mdogo anaepanda anategemea kuvuna kumbuka fainali uzeeni kama huko aliko alikua akikauka koo kwa ahadi tu sidhani hata wewe ungekua mjinga kiasi hicho ila mkabeni mashinji anajua!
 
Nani ambaye sio pengo kubwa na je ni kubwa kushinda la Dr slaa.??
 
hakuna habari za maendeleo au ushauri mbalimbali kuliko hizi za wanaobadili 'nguo' kila siku...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…