Patrobas Katambi, Naomba uondoe nia yako ya kugombea ubunge Shinyanga Mjini


Ubarikiwe sana mkubwa
 
Itakuwa ule msiba wa shangazi yake mtoa nia mwingine,msiba ulikuwa kolandoto sio oldshy,Pass kazaliwa kijiji cha kolandoto wilaya ya shymjini,wapingane kwa hoja na siyo kwa uzawa

Wapingane kwa hoja zenye mashiko na siyo huu upuuzi wa ukabira
 

Duu ni habari ya kufurahisha kwa makamanda kumtafuta kamanda anaye faa kuiongoza cdm
 
Last edited by a moderator:
Duuh siasa hizi ni balaa tunaongelea ukabila Karne ya21 hakika mtoa mada umenisikitisha,halafu mbona muongozo wa jinsi ya kumpata mbunge umeshatolewa atakuwa sio wa kuteuliwa bali ni wakuchaguliwa atakaepata kura nyingi ndio atakaepitishwa iwe umezaliwa kirando au dar suala ni jinsi gani unakubalika kwa wanachama wenzio na wananchi haya masuala ya uzawa,dini,Kabila,urefu au ufupi wake kwa sasa hauna nafasi fursa imetolewa yoyote mwenye uwezo wa kugombea na agombe ondoa fikra za kibaguzi mkuu
 
Nachukia sana ubaguzi wa aina yeyote

Sijui siasa za shy ila kumpiga vita mtu kwa kutumia dhana ya ubaguzi sio sahihi hata kidogo,mleta mada acha watu wachuane kwa hoja hiyo ndio demokrasia ndugu

Siasa za ubaguzi wa kikabira ni noma sana mkuu
 
Nanuku Maneno ya Kamanda Lema... Ukiona Mtanzania wa Leo tunagawanywa kwa kabila au dini tumefika pabaya Asanteni Mwisho
 
Hoja ya uzawa sawa na ukabil, udini, usomi ni hoja za waliofilisika kimawazo...

Lakini tuongee ukweli huyo M/Kiti wa BAVICHA sijui Petrobus naona kama haitendei haki nafasi yake...Hivi alikosekana mwingine wa kuchukua nafasi ya Kamanda John Heche ndo akalazimishiwa huyu ...
Alafu na yeye eti anataka Ubunge....dah wananchi majimboni wanayo kazi mwaka huu..
 

...............
P.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…