Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Kwa nini ahamie chama cha wasaliti Tanzania?
Aendelee kupiga kazi BAVICHA
Agizizo la Chama Tawala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini ahamie chama cha wasaliti Tanzania?
Aendelee kupiga kazi BAVICHA
Mkuu si ukabila ni ukweli japo mchungu. Fuatilia siasa za shinyanga toka baada ya MwanDerefa
wewe sio kamanda ni gamba
Kazi za Mbunge sio kuongoza Matambiko, hivyo hatutegemei kabila kuwa ni kigezo kimojawapo cha kumpata Mbunge. Mawazo ya aina hii ndiyo Mwl J. K. Nyerera aliyaita " tumawazo twa kipumbavu". Na upumbavu ni sifa kama urefu au ufupi. Rais J.K Kikwete ni Mkwere ila mbona anakuongoza? Kwanini hukumzuia ili uchague rais Msukuma?
Itakuwa ule msiba wa shangazi yake mtoa nia mwingine,msiba ulikuwa kolandoto sio oldshy,Pass kazaliwa kijiji cha kolandoto wilaya ya shymjini,wapingane kwa hoja na siyo kwa uzawa
Wewe PERFECT kajipangeni upya,kwa taarifa yenu Pasi alizaliwa kolandoto hospital,kasoma kolandoto shule ya msingi,baadae baba yake akahamishiwa mkula Hospital Magu,baadae wakarudi tena Shinyanga,Pas ni mzaliwa wa wilaya ya shinyanga mjini upo hapo?issue ya uzawa mmefeli mpaka hapo,Kwanza unamtetea Rachel Mashishanga mtu mwenyewe ana power bank anaishi kwa kupunguza charge za power bank tu,afterall Rachel hafai kuwa mbunge maana hana mipango endelevu ya kuifanya shy town iwe juuu
Haya sasa dhambi ya ukabila inaanza kuwatafuna wenyewe kwa wenyewe!,
Endeleeni na harakati makamanda!
Kila mtu anataka ubunge Chadema, sasa huyu sisimizi Patrobas anataka kushindana na Rahel mashishanga?
dhambi ya ubaguzi haihishagi ni kama kula nyama ya mtu
Hivi kila kiongozi wa kichama ni lazima agombee ubunge au urais!!!??
Nachukia sana ubaguzi wa aina yeyote
Sijui siasa za shy ila kumpiga vita mtu kwa kutumia dhana ya ubaguzi sio sahihi hata kidogo,mleta mada acha watu wachuane kwa hoja hiyo ndio demokrasia ndugu
Pamoja na hoja yenu ya UZAWA dhidi ya Masele...mbona alishinda?
Chama cha wachaga bwana,kila mtu anataka ubunge akapige pesa,wachaga hatari sana kwa nchi yetu
Chama cha wachaga bwana,kila mtu anataka ubunge akapige pesa,wachaga hatari sana kwa nchi yetu
Wasalam Jamvini,
Kamanda Patrobas Katambi, nakuomba uondoe nia yako ya kugombea ubunge Shinyanga Mjini mara moja.
Kamanda, unafahamu kuwa wewe si mzawa wa hapa Shinyanga Mjini. Na kwamba turufu hii tuliitumia kama CHADEMA dhidi ya Masele na kusababisha ushindi kwetu.
Kamanda, unafahamu huna ndugu wala jamii yako hapa mjini unag'ag'ania. Kamanda Masele /Nkurunziza.
Kamanda, unafahamu jimbo la Kahama walikukatalia live, ambako kuna ndugu zako, umefika wilayani hapa na mbunga wamekukubalia kutia nia.
Kamanda, unafahamu ulivyoanzisha mtandao wa kimakundi CHADEMA wilayani hadi kata.
Kamanda, unafahamu wanashinyanga walivyo na misimamo. Juu ya uzawa wameonewa kwa miaka zaidi ya 10.
Kamanda, unafahamu kwana watia nia zaidi ya 10 wenye sifa ila umekomalia kisa ni kiongozi wa kitaifa utapata tu.
Kamanda, unajua ulikataliwa na walimu siku ya seminar yao. Ukimwakilisha Rechal Mashishanga ulizomewa kwa maneno yako kwao. (Ulimi hauna mfupa)
Kamanda unafahamu. Uongozi makao makuu unakubeba, hata mkutano wa hadhara juzi juzi NKMZ Salum Mwalimu alikubeba na kuwaacha watia nia wengine.
Kamanda ni hivi, kujenga CHADEMA si lazma uwe ni Mbunge, mbona una Cheo kizuri kukitumikia chama, BAVICHA TAIFA.
Jipime! usikibomoe chama kwa tamaa zako Kamanda.
Ukweli MCHUNGU wewe si MZAWA wa hapa.
Am always PERFECT.