Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Ujue kuna maswali hata hampaswagi kujiuliza sababu nyie si sehemu ya watakaohangaika kumlipa huyo kocha.Uwezo wa kumlipa mnao!
Ujue kuna maswali hata hampaswagi kujiuliza sababu nyie si sehemu ya watakaohangaika kumlipa huyo kocha.Uwezo wa kumlipa mnao!
Na je mnahisi huyo Patrick ana mapenzi nanyi.?
Ujue kuna maswali hata hampaswagi kujiuliza nyie bali tunapaswa kujiuliza sie.
Kumbe!! Sasa inakuwaje mnajiuliza halafu mnataka hao hao mapoyoyo ndo wawajibu?Kocha wenu kasema ninyi ni mapoyoyo, hamna akili za kujiuliza maswali mazuri kama hayo.
Inabidi sisi tuwasaidie kuuliza.
Kumbe!! Sasa inakuwaje mnajiuliza halafu mnataka hao hao mapoyoyo ndo wawajibu?
Jiulizeni na kujijibu wenyewe basi Mtani.
Sasa Poyoyo atahangaikaje?Yaani mnataka tuwatafunie kila kitu!
Sisi tumewapa hints, mengine jihangaikieni.
Sasa Poyoyo atahangaikaje?
Uwezo huo hana. Malizeni nyie kila kitu.
kui-coach timu hiyo inayopendwa sana katika ukanda wa nchi zote za Afrika ya Mashariki, Kusini na Kati na nchi zote zinazo patikana katika upande wa kaskazini wa River Limpopo.Za chini chini zinasema kuwa aliekuwa kocha wa Simba, Bwana Patrick Ausems yupo katika mazungumzo na Dar Es Salaam Young Africans kwa ajili ya kui-coach timu hiyo inayopendwa sana katika ukanda wa nchi zote za Afrika ya Mashariki, Kusini na Kati na nchi zote zinazo patikana katika upande wa kaskazini wa River Limpopo.
Hans Pluijm, Marcio Maximo na Mwinyi Zahera ni miongoni mwa wanao tajwa kutua Jangwani
Let's wait and see
Nijuze kwa nini Tshitshimbi karudisha fedha ?Wanaringia Milioni 70 alizorudisha Tshitshimbi
LolHapo ni sawa na tumekupa area of concentration, pitieni kwa umakini Mtani.
Tunawapenda hivyo hivyo pamoja na viburi vyenu, mmeshakuwa watani, hatuna jinsi ni kuishi na nyie hivi hivi.
Lol
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Hivi Dada Shadeeya nawe una mawazo mgando kama utopolo huyu?
Au wewe una mawazo mtambuka.
Ila Dada kuna mtu hapa ananisumbua sana kwa swali lake.
Ukiondoa ushabiki "hivi kati ya Feisal Salum (Fei toto) na Cleatous Chota Chama, ni yupi kiungo bora yaani fundi haswa wa mpira .?
Manyani fc katika ubora wenuMNAVYOSIFIA WANAUME WENZENU KHA.KAMA WANAWASAIDIA MADADA ZENU HUKO..
kwa iyo simba ni matajiri kwa pesa za MO?Hahaaaaa,usiombee umasikini kabisa hasa kama wa hawa utopolo
kwa iyo simba ni matajiri kwa pesa za MO?
hahaha Simba wanajisifia ni matajiri kwa pesa za MO. Yule muhindi siku akiwachoka hawataaminiMNAVYOSIFIA WANAUME WENZENU KHA.KAMA WANAWASAIDIA MADADA ZENU HUKO..