jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,472
- 8,174
Weka buti la katapila nikupe hela
Mkimtumia imekula kwakoWeka buti la katapila nikupe hela
Mkuu naitaji cha 9 katika picha
wewe na huyo alieanzisha uzi lenu moja..Na ndo strategy ulobuni ya kujitangaza..bigdeal_mtumba_shoes tupo Dar bamaga karibia Na chuo cha Ustawi wa jamii
Nataka cha 3 na 9
wewe na huyo alieanzisha uzi lenu moja..Na ndo strategy ulobuni ya kujitangaza..[/
Yani mie nitoe angalizo Na niweke uthibitisho wangu bado una uhukumu.? Ya nini Sasa nilisema hapo mwanzo? Otherwise mtumie hela huyo mtu halafu uone. Mie nimetaja physical address yangu unataka Njoo ofisini utapata bidhaa tofauti Na hapo utaongea kwasababu unataka kuongea Na siwezi kukuzuia
...akili zingepimwa uzito usingefika hata miligram!wewe na huyo alieanzisha uzi lenu moja..Na ndo strategy ulobuni ya kujitangaza..
Wewe usingekuwa ata na PPB... Kama siyo ppm....akili zingepimwa uzito usingefika hata miligram!
...ila mwenyewe unajiona una akiliiiiii;
..hopeless!
SEBAGO ZIPO?? BEI GANI SIZE 42_44
Hicho cha 3 kimeuzwa tayari Na cha 9 pia kimeuzwa pia. Tembelea page yetu Instagram ya bigdeal_mtumba_shoes kuna viatu vingine. Tupo bamaga chuo cha Ustawi wa Jamii