Pata viatu vya mtumba grade one.

e3c99d3f4877ec2259503ff165730ed1.jpg

Elfu 28,000/=
80a3412cfe0968d291fafc07a03049af.jpg

Elfu 28,000/=
9cf6e6b0a060635f4cc543512a71c534.jpg

22,000/=
eacf38d7c6702c0877a3509b7417f2af.jpg
376fa8498fe8cd155751902bdf3c8f86.jpg

Elfu 25,000/=
d658125f96002311e5dc64736ebc76bf.jpg

Elfu 30,000/=
26c911b3e278647a89a88c7f247f261b.jpg

Elfu 30,000/=
c44d41db92091a79899404eda3ca32b4.jpg

Size 42.Elfu 30,000/=
af046e34bad60dbeb810187de38aed74.jpg

Ngozi size 44...35,000/=
8885280d2fb3272e7035f83d7122680b.jpg

Karibuni sana.
Size 44.Bei 35,000/=
7525c2eed1944b4a7c5857f2f1c4c43c.jpg

Size 44 .Bei 35,000/=
7e9eaa9b62cb57fc94bcaff5dda31c38.jpg

Size 43.Bei 35,000/=
Napatikana Mwanza na ninatuma mzigo mikoa yote.
Contact. 0789678900
Namba ya simu sawa.ila Tuma picha yako na picha ya sehemu unayofanyia biashara.humu walilia watu,usione wakimya wana mengi moyoni.haya yote kutaka vitu vya bei "chee".
 
Mkuu hiyo picha ya kwanza na pili si ni vya manyoya ? Auna vyenye ngozi ya kawaida!
 
e3c99d3f4877ec2259503ff165730ed1.jpg

Elfu 28,000/=
80a3412cfe0968d291fafc07a03049af.jpg

Elfu 28,000/=
9cf6e6b0a060635f4cc543512a71c534.jpg

22,000/=
eacf38d7c6702c0877a3509b7417f2af.jpg
376fa8498fe8cd155751902bdf3c8f86.jpg

Elfu 25,000/=
d658125f96002311e5dc64736ebc76bf.jpg

Elfu 30,000/=
26c911b3e278647a89a88c7f247f261b.jpg

Elfu 30,000/=
c44d41db92091a79899404eda3ca32b4.jpg

Size 42.Elfu 30,000/=
af046e34bad60dbeb810187de38aed74.jpg

Ngozi size 44...35,000/=
8885280d2fb3272e7035f83d7122680b.jpg

Karibuni sana.
Size 44.Bei 35,000/=
7525c2eed1944b4a7c5857f2f1c4c43c.jpg

Size 44 .Bei 35,000/=
7e9eaa9b62cb57fc94bcaff5dda31c38.jpg

Size 43.Bei 35,000/=
Napatikana Mwanza na ninatuma mzigo mikoa yote.
Contact. 0789678900

Payment ikoje unalipa baada ya kupokea mzigo?
 
Nimechukua Namba yako brother. Naamini nitakutafuta tarehe 18, nitakuwa hapo jijini Mwanza.
 
Mkuu Mamylicious mbona thread yako imekaa kitapeli? Mbona picha unazotumia za viatu ni vya kwetu? Na hizo picha hapo ni ofisini kwangu big deal stationary? Yani utoe picha kutoka account ya Instagram ya bigdeal_mtumba_shoes halafu unasema viatu unavyo mwanza.
Ningependa kukusaidia Jambo moja inawezekana unania nzuri na mipango mizuri kibiashara Ila fahamu dunia sasa hv ni ndogo watu wote tupo kwny mitandao. Sasa kwa mfano mtu akitaka viatu ulivyopost utakuwa navyo? Na ulichonifurahisha zaidi mpaka jina la mtumba grade A umedesa. Hahahahaha jaribu kuwa mbunifu kidogo Na ufanye biashara. Sasa hivi tumeleta mzigo wa socks Sasa sijui utadesa Na hiyo ila mind you Hizi socks sio mtumba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom