MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,174
Wiki mbili zilizopita niliweka tangazo la kuuza banda la kuku 400 na kwa haraka wanaojua nini maana ya ufugaji walichukua siku ya pili baada ya kupendezewa nalo.
Na wadau wengi walinipigia simu kulihitaji lakini bahati mbaya wakawa wamechelewa... Na wengi wakaniomba niwape ramani na nikaona siyo mbaya nikawacholea kwa bei ndogo wakachukua na wengine bado nawachorea.. Nawachorea kulingana na idadi ya kuku unaofuga kuanzia kuku 100 mpaka 1000.
MAELEZO YA BANDA
banda la urefu mita 9 na upana mita 1 na kimo mita 3.5 ambalo linakua na golofa 4 juu linachukua kuku 400 wa nyama au 200 wa mayai
Kuku wanapokunya kinyesi kinaanguka eneo maalumu ambapo hawawezi kukanyaga kinyesi wala kukidokoa.
Na kwakua banda ni la golofa 4 juu muundo wake kuku wa juu wakinya kinyesi hakiwezi dondokea kuku golofa za chini,,
Banda linachukua eneo dogo sana hata kama umepanga unafuga bila wasiwasi maana mita 9 kwa mita 1 ni sehemu ndogo Ila inachukua kuku 400
Ila inategemea udogo au ukubwa gani wa banda utahitaji.
Gharama ya kutenengeneza aina hii ya mabanda ni nusu ya yale mabanda ya Madukani lakini kikubwa zaidi pamoja na kutengenezea nusu Gharama pia linabeba kuku mara 2 ya banda la dukani.
Namaanisha ukitaka banda la dukani la kuku 400 inabidi utumie kama milion 6 ambapo banda hili ambapo kulijenga halimalizi M1.5
Kiujumla maelezo yake ni mengi kitaalamu na kama ukihitaji maelezo zaidi unaweza nipigia simu
Ufugaji ni utalaamu tuu si lazima uwe na eneo kuubwa
Sasa uko huru kama unahitaji ramani ntakuchorea maana imebidi niwashirikishe haya mambo ya ujasiliamali ni kuinuana na kusaidiana
Ntawawekea mfano wa banda lililokua nauza Ila lilishachukuliwa
NB: MIMI SITENGENEZI BANDA ILI UNUNUE ILA MIMI NTAKUCHOREA RAMANI ILI UMPE FUNDI AKUTENGENEZEE MAANA LINAKUA LIKO KITALAAMU.
Namba 0621047159
Na wadau wengi walinipigia simu kulihitaji lakini bahati mbaya wakawa wamechelewa... Na wengi wakaniomba niwape ramani na nikaona siyo mbaya nikawacholea kwa bei ndogo wakachukua na wengine bado nawachorea.. Nawachorea kulingana na idadi ya kuku unaofuga kuanzia kuku 100 mpaka 1000.
MAELEZO YA BANDA
banda la urefu mita 9 na upana mita 1 na kimo mita 3.5 ambalo linakua na golofa 4 juu linachukua kuku 400 wa nyama au 200 wa mayai
Kuku wanapokunya kinyesi kinaanguka eneo maalumu ambapo hawawezi kukanyaga kinyesi wala kukidokoa.
Na kwakua banda ni la golofa 4 juu muundo wake kuku wa juu wakinya kinyesi hakiwezi dondokea kuku golofa za chini,,
Banda linachukua eneo dogo sana hata kama umepanga unafuga bila wasiwasi maana mita 9 kwa mita 1 ni sehemu ndogo Ila inachukua kuku 400
Ila inategemea udogo au ukubwa gani wa banda utahitaji.
Gharama ya kutenengeneza aina hii ya mabanda ni nusu ya yale mabanda ya Madukani lakini kikubwa zaidi pamoja na kutengenezea nusu Gharama pia linabeba kuku mara 2 ya banda la dukani.
Namaanisha ukitaka banda la dukani la kuku 400 inabidi utumie kama milion 6 ambapo banda hili ambapo kulijenga halimalizi M1.5
Kiujumla maelezo yake ni mengi kitaalamu na kama ukihitaji maelezo zaidi unaweza nipigia simu
Ufugaji ni utalaamu tuu si lazima uwe na eneo kuubwa
Sasa uko huru kama unahitaji ramani ntakuchorea maana imebidi niwashirikishe haya mambo ya ujasiliamali ni kuinuana na kusaidiana
Ntawawekea mfano wa banda lililokua nauza Ila lilishachukuliwa
NB: MIMI SITENGENEZI BANDA ILI UNUNUE ILA MIMI NTAKUCHOREA RAMANI ILI UMPE FUNDI AKUTENGENEZEE MAANA LINAKUA LIKO KITALAAMU.
Namba 0621047159