Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

mwambie ajipange tena huku akiombea kisije chukuliwa la sivyo atakuta msingi.
Karibu tena
 
Ngaruka nataka viwanja sehemu iliyotulia ya watu wa maisha ya kati vya bei poa kabisa!
 
nyumba nyakato national nikubwa ina vyumba 7 master 1 iko sehemu nzuri karibu na barabara yakwenda buswelu maji,umeme na hati vipo. inahitajika mil120 tu.
kwa picha za nyumba hii nitumie ujumbe whatsapp nikutumie picha za kutosha.+255767791405.KARIBUN wadau
 
Usisumbuke kupata nyumba au viwanja mwanza. wasiliana nasi ili ujipatie kwa urahis.
Karibun sana.
 
NYUMBA.
iko NYAMHONGOLO ina vyumba 3(master1+self2),sebule+jiko iko kwenye finishing ya floor imeshaezekwa maji yamo umeme pia umefika(ingiwa haujaingizwa kwenye nyumba).
mtindo wa nyumba ni wa kisasa.
kiwwnja ni25×40.
bei mil45tu.
KARIBUNI WOTE
 
Leo nitafute utapata. viwanja vipo
 
VIWANJA 2
viko KIBANDANI(mbele ya airport.Moja linaelekea ziwan kabisa ambalo hata beach ya ziwa imo.ukubwa wake ni 70×140. umeme umefika maji ya bomba bado ila ya ziwa yamejaa mil 95
Cha pil ni 140×100 kiko karibu na mwalo wa Kibandan bei mil 150.
Bei zote maelewano yapo.
KARIBUNI
 
Viwanja vikubwa vilivyo pimwa maeneo ya Kirumba na Igoma Karibun
 
HIV VINAPATIKANA KWETU WEWE WASILIANA NASI TU UKIWA MWANZA.
1.Nyumba(kuuza/kununua)
2.viwanja(kuuza au kununua)
3.Raman za nyumba aina zote.
KARIBUNI WOTE
 
WORKSHOP INAUZWA.
inafanya kazi mpaka sasa ina mashine 3 za kuranda na kukereza mbao full.iko Nyakato national maeneo ya viwanda vya mbao(mnadani).Bei mil15
KARIBUNI WOTE
 
WORKSHOP INAUZWA.
inafanya kazi mpaka sasa ina mashine 3 za
kuranda na kukereza mbao full.iko Nyakato
national maeneo ya viwanda vya mbao
(mnadani).Bei mil15
KARIBUNI WOTE
 
KIWANJA
kipo Malimbe karibu na chuo cha SAUT.kipo karibu
na mnara wa Masha. kimezungukwa na hostel za
SAUT.
ukubwa hekari 2.
umeme na maji yapo.bei mil70 maelewano yapo.
KARIBUNI SANA
 
NGARUKA weka hapa vilivyopo kulingana na ombi langu kabla sijaja PM. Itasaidia mengi na wengi humu. Tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
buhongwa
mkolan
bulale vipo
vinaanza na 5mil ongezea hapo.mil2 utapata nje kabisa umeme na maji shida karibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom