Nyumba inauzwa Usagara ina vyumba viwili+jiko+sebule kubwa.
chumba kimoja ni self. Iko karibu na barabara ya mtaa umeme umefika.
bei maelewano.
cont. 0767791405/0789998398
Mkuu yule jamaa yangu naona hakufika offer ya bei ya kununulia ile sehemu malimbe hapo
Lakini alikuwa na nia na dhati ngoja tuone kama ataongeza hela lbda.
Maana hapo target yake ilikuwa kujenga hostels maana chuo cha saut kiko karibu dah.
Jamaa yangu alisikitika kulikosa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.