Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

kaka yako napita.
kuna nyumba mbili nyegez zimepatikana.
moja vyumba vi3 chumba na sebule×2 na master moja.
na choo cha nje.
bajet mil3.

nyingine vyumba3 na sebule choo cha nje mil1.8.
zote ziko Nyegez karibu na Jesh.
KARIBU

hyo ya 1.8 m ipo maeneo gani mkuu nikutafute,jesh upande gani au wahekima
 
nyumba ya Buhongwa mil80 ina kiwanja kikubwa.inaweza tumika kwa kuanzisha gest,hotel hata makazi.
ya kilimehewa mil45.
ya buswelu wilayan mil30.
kiwanja nyasaka mil 9.
gar mil3.5
KARIBUN

Haya madili humu sio size yake.labda hilo la gari! Eti kiwanja buswelu wilayani 30m:thumbdown:😱
 
Nyumba inauzwa Nyakato National.
ina vyumba 4 vya ndan master 1 na vya kawaida v3.dinning room na sitting room.
ina vyumba vi3 vya nje na bafu na choo cha nje.
iko karibu na s/m gedeli pia karibu na barabara ya Buswelu-mjin. ina HATI,UMEME na MAJI
bei yake ni 200mil. maelewano yapo.nashindwa kuapload picture.ukiwa interested nitumie sms namba yangu ya wahatsapp ni +255767791405.
MAWASILIANO. 0767791405/0789998398.
KARIBUNI WOTE

watakuja wanunuzi ml 200 nyakato..! juzi jamaa kamuhamisha mtu kwa m 60ml mitaa ya nera..!
 
Bzimana umeshaambiwa kuna maelewano!!!.hata hvyo biashara haigombi ndgu.

KARIBU SANA
 
nyumba bado zipo bei maelewano.whatsapp.0767791405
 
ok nitakujulisha next week keben
 
ha ha ha,ngaruka bana,naona unahuisha thread isipotee.

anyway nimeibookmark kabisa siku nikihitaji nyumba ama kiwanja mwanza nntakucheki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom