mnyafigulu
Member
- Dec 24, 2017
- 29
- 10
- Thread starter
- #21
utalipia mzigo kwa akaunti ya benki ya kampuni na kisha utawasiliana na dereva wa magari yanayofanya safari mkoani kwako ili muelewane bei, na mzigo utakufikiaHuku mikoani tunayapataje?
utalipia mzigo kwa akaunti ya benki ya kampuni na kisha utawasiliana na dereva wa magari yanayofanya safari mkoani kwako ili muelewane bei, na mzigo utakufikiaHuku mikoani tunayapataje?
Una hakika hayapauki?View attachment 697849View attachment 697850View attachment 697851View attachment 697852View attachment 697853View attachment 697854View attachment 697855View attachment 697856View attachment 697857
Gage30 sh. 20,000 kwa pc, sh. 7000/m
gage28 sh. 26,500 kwa pc,sh.9000/m
gage32 sh. 15,500 kwa pc
VESSAL sh. 10,500 kwa mita
LUGOBA sh. 10,500 kwa mita
KOFIA sh. 9,000 kwa pc
MISUMARI(rangi) sh. 9,000 kwa kilo
KELVIN HAULE(RED EAST BUILDING MATERIALS) NIPO TABATA BIMA DAR ES SALAAM 0714573462
ninaiheshimu sana kazi yangu na pesa yako pia bosi mbereKuna Kelvin mwenzio kasumbua watu kweli humi
ni bidhaa bora sana na imethibitishwa na mamlaka ya viwango vya ubora TBSVipi ubora wake kaka?
kila bati hupauka baada muda, Ila ninakuhakikishia maisha marefu ya bati hiziUna hakika hayapauki?
Nna wasiwasi wa hizo bati kutokana na majibu yako. Ndugu zangu kuweni makini na hizi bati kuna ndugu yangu imembidi abadilishe bati zake baada ya mwaka kwani hazifai zinapauka sanakila bati hupauka baada muda, Ila ninakuhakikishia maisha marefu ya bati hizi
Hupauka baada ya mda gani??? warrant yake ipoje....ukisema unanihakikishia bila details muhimu ni sawa na porojo tuu.kila bati hupauka baada muda, Ila ninakuhakikishia maisha marefu ya bati hizi
una haki na ni vema kuwa na wasiwasi na kitu ambacho hukijui uhalisia wake, lakini mm ninahakikisha ubora na si vinginevyoNna wasiwasi wa hizo bati kutokana na majibu yako. Ndugu zangu kuweni makini na hizi bati kuna ndugu yangu imembidi abadilishe bati zake baada ya mwaka kwani hazifai zinapauka sana
Nina duka la vifaa vya ujenzi huku mkoani naweza kuwa wakala wako?geji 30 sh. 20,000 tu kwa pc
geji 28 sh. 26,500 tu kwa pc
geji 32 sh. 15,000 tu kwa pc
kofia/Valley sh. 10,000 kwa pc
misumari(rangi) sh. 9,000 kwa kilo
KELVIN HAULE NIPO DAR 0714573462
upo mkoa gani bosi?Nina duka la vifaa vya ujenzi huku mkoani naweza kuwa wakala wako?
Una nihakikishiaje? Huwezi kuwahakikishia watu kwa maneno ya mdomoni na watu wakakuamini. Njoo na vielelekezo watu watakuaminiuna haki na ni vema kuwa na wasiwasi na kitu ambacho hukijui uhalisia wake, lakini mm ninahakikisha ubora na si vinginevyo
acha porojo.. company zote za mabati ya rangi kama ALIF, SUNSHARE, etc wamekeka wazi warrant na wanasema yanapauka baada ya mda gani.. wewe unaleta maneno eti unatuhakikishia.. je tutakuamini vip kwenye dunia hii ya wahuni wengi.. usikute hizi ndio zile zinazotengenezwa na ma-srepa huko ASIA/SOUTH AFRICAuna haki na ni vema kuwa na wasiwasi na kitu ambacho hukijui uhalisia wake, lakini mm ninahakikisha ubora na si vinginevyo
Biashara nafanyia lindi ndiko ujenzi unaendelea sana msimu huu wa korosho.upo mkoa gani bosi?
Hiyo bey ni gharama sanageji 30 sh. 20,000 tu kwa pc
geji 28 sh. 26,500 tu kwa pc
geji 32 sh. 15,000 tu kwa pc
kofia/Valley sh. 10,000 kwa pc
misumari(rangi) sh. 9,000 kwa kilo
KELVIN HAULE NIPO DAR 0714573462
