- Thread starter
- #21
Mbona unapenda ku attack? Kwa nn usiwe na subra pengine kuna mtu itamfaaUnapiga ngojera tu hapa
Mbona unapenda ku attack? Kwa nn usiwe na subra pengine kuna mtu itamfaaUnapiga ngojera tu hapa
OhooNipe namba nimpe akuunge kwenye group lao
Hili sio kosa lako bali kosa ni kile unachokifahamu:Mkuu ukishakunya umesafisha tumbo.
Ukikojoa umesafisha kibofu.
Hakuna nnjia nyingine ya kusafisha tumbo kama sio kunya,lazima utoe kitu kwenye njia ya haja kubwa na huko ndiko kunya kwenyewe.
Umeshauri watu wanywe maji mengi safi sana,walw matunda na pia WASILE WAKASHIBA SAAAAAANA NA WALE WANAPOHISI NJAAA zaidi ya hapo ni biashara tu mkuu.
Sasa kama umekuja kufanya biashara sawa ila kama umekuja kusaidia watu basi acha kuwaambia kwamba wasafoshe tumbo mara kwa mara watu wanywe maji na wale wakihisi njaa na wqsile wakashiba,wale matundaaaaaaaa.
Nitangulize samahani
Hahahaha we nadhani maana ya kusafisha tumbo hujui kabisaaaa. Bila Shaka ww ni wa mjiniKama kusafosha tumbo mara kwa mara kutakufanya ujisikie fresh je ukisafisha tumbo linakuwa empty wakati umelisafosha au unakuwa kuna vitu vipi humo tumboni ?
We umekariri vitu ina huelewi chochoteWee ndie unataka kuletea watu magonjwa.
Tecnically mwili wa binadam unajisafisha wenyewe involuntiary wala haufosiwa na chochote labda km mtu mgonjwa hivyo kuna malfunction ya some organs otherwise km ni mzima basi mwili hutoa taka wenyewe.
We huna tofauti na matapeli wa mitandao ya simu..akiona umemshtukia anaanza kuongea upupuWe umekariri vitu ina huelewi chochote
Nakwambia hv binti sura mbaya choko. Mie siuzi dawa na copy kwenye group nipo. Halafu pia mm situmii hivyo vitu unavyotaka kunipa kwa lazimaWe huna tofauti na matapeli wa mitandao ya simu..akiona umemshtukia anaanza kuongea upupu
We kunguru boya fuatilia huu uziWe huna tofauti na matapeli wa mitandao ya simu..akiona umemshtukia anaanza kuongea upupu
njia bora kuliko zote za kusafisha tumbo na mabaki mengine mwilini ni kufanya yafuatayo:Copy & Paste kutoka kwenye hii link ya Group la WhatsApp.
Safisha tumbo lako mara kwa mara ili uboreshe afya yako. Afya yako ni mali zaidi ya mali yako!
Chanzo kikuu cha magonjwa mengi ni matokeo ya chakula tunachokula kugeuka kuwa sumu mwilini. Ndio maana Watalaam wa afya wanahimiza sana ulaji wa matunda na unywaji wa maji kwa ajili ya kusaidia mmeng'enyo wa chakula tumboni ili kusaidia ku flash out yale mabaki yasigeuke kuwa sumu.
Lakini pamoja na juhudi zote bado kuna umuhimu wa kupiga usafi tumbo kwa mahsusi kabisa. Watu wengi sana hawapigi usafi tumbo waao ni kula tu
Mnatuchanganya...Wote wapigaji humunjia bora kuliko zote za kusafisha tumbo na mabaki mengine mwilini ni kufanya yafuatayo:
1. Kuwa na tabia ya kufunga kula siku moja kila wiki, ukishindwa kila mwezi
2. kunywa maji mengi kwa siku, (yaani lita 3+)
3. kuepuka kula matunda kwenye tumbo lenye chakula, yaani kula matunda ukiwa na njaa.
4. Epuka kabisa kula nyama na ugali, wali, chapati, mihogo (carbohydrates) kwa wakati mmoja
5. kunywa maji mengi baada ya kufanya mazoezi.
6. Kula kwa kujisikia njaa usile kwa kufuata wakati au uwepo wa chakula.
7. epuka kuchanganya matunda zaidi ya moja, na hasa epuka kula kwa kuchanganya matunda machachu kama limau, machungwa,mananasi, passion na matunda baridi kama matango, matikiti, parachichi,
Unajaza seva za JF kwa upupu wako...ungeandika post moja tu na kujieleza kila kitu kwa ufupi na ungeweka mawasiliano yako then ungewasubiri wanaotaka kupigwa ungeendelea nao...siyo unajieleeza kwa urefu wakat ishu yenyewe ni rahisi tu ya kutoa uchafu mwilini..Kenge maji weNakwambia hv binti sura mbaya choko. Mie siuzi dawa na copy kwenye group nipo. Halafu pia mm situmii hivyo vitu unavyotaka kunipa kwa lazima
Dah kwani ugumu wa maisha yako yananihusu nn mimi? Pambana na hali yako mm usiniletee stress za kishamba kaza ndukum wako pambana....acha kuturembulia macho hapa jamviniUnajaza seva za JF kwa upupu wako...ungeandika post moja tu na kujieleza kila kitu kwa ufupi na ungeweka mawasiliano yako then ungewasubiri wanaotaka kupigwa ungeendelea nao...siyo unajieleeza kwa urefu wakat ishu yenyewe ni rahisi tu ya kutoa uchafu mwilini..Kenge maji we
Shilingi ngapi kusafisha tumbo??Jamani nasisitiza mimi hapa: Safisheni matumbo yenu
Najua basi Bob! Mie nime paste tuShilingi ngapi kusafisha tumbo??
Naomba kwenye namba 3 hapo ufanye marekebisho, futa neno 'yaani' weka haya maneno ' badala yake'. Kwa namna umendika hapo imepoteza maana ya ulicholenga kusema.njia bora kuliko zote za kusafisha tumbo na mabaki mengine mwilini ni kufanya yafuatayo:
1. Kuwa na tabia ya kufunga kula siku moja kila wiki, ukishindwa kila mwezi
2. kunywa maji mengi kwa siku, (yaani lita 3+)
3. kuepuka kula matunda kwenye tumbo lenye chakula, yaani kula matunda ukiwa na njaa.
4. Epuka kabisa kula nyama na ugali, wali, chapati, mihogo (carbohydrates) kwa wakati mmoja
5. kunywa maji mengi baada ya kufanya mazoezi.
6. Kula kwa kujisikia njaa usile kwa kufuata wakati au uwepo wa chakula.
7. epuka kuchanganya matunda zaidi ya moja, na hasa epuka kula kwa kuchanganya matunda machachu kama limau, machungwa,mananasi, passion na matunda baridi kama matango, matikiti, parachichi,
Elimu ya lishe inataka utulivu sana. MUNGU kaficha tiba za maradhi katika lishe na sio dawa za hospital.Mnatuchanganya...Wote wapigaji humu
hivi kenge maji wapoje?!Unajaza seva za JF kwa upupu wako...ungeandika post moja tu na kujieleza kila kitu kwa ufupi na ungeweka mawasiliano yako then ungewasubiri wanaotaka kupigwa ungeendelea nao...siyo unajieleeza kwa urefu wakat ishu yenyewe ni rahisi tu ya kutoa uchafu mwilini..Kenge maji we