Passport kubadilishwa tena?

Passport kubadilishwa tena?

mstahiki

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2007
Posts
308
Reaction score
9
Kuna tetesi kwamba hati za kusafiria zinabadilishwa tena:yuck:
Kama kuna mwenye habarari za uhakika tunaomba mtusaidie..
Kama kweli...tueleawe kwanini?si miaka mingi selikari ilibadisisha :target::angry:😛ainkiller:

WFT is going on na hii selikari ya JK...this is BF
 
kama ni kweli nakubaliana na wazo/hoja ya kubadilisha hizi passport zetu....................zinachezewa mno na wasomali, wanigeria, wakenya na wacongo....ofcourse wakishirikiana na maafisa wa serikali yetu
 
kama ni kweli nakubaliana na wazo/hoja ya kubadilisha hizi passport zetu....................zinachezewa mno na wasomali, wanigeria, wakenya na wacongo....ofcourse wakishirikiana na maafisa wa serikali yetu

hapo hata wakibadilisha zikawa vp haitasaidia k2!!
 
kama ni kweli nakubaliana na wazo/hoja ya kubadilisha hizi passport zetu....................zinachezewa mno na wasomali, wanigeria, wakenya na wacongo....ofcourse wakishirikiana na maafisa wa serikali yetu

Ogah - mbona unajichanganya? kama wanaoghushi wanashirikiana na maofisa wa serikali, je hizo mpya? si watashirikiana tu?

MODs, bila ya concrete proof, ondoa hii thread, au angalau iweke ktk Habari Mchanganyiko.
 
Safari hii tubadilishe bila malipo wala kujaza fomu upya!
 
hapo hata wakibadilisha zikawa vp haitasaidia k2!!

Ogah - mbona unajichanganya? kama wanaoghushi wanashirikiana na maofisa wa serikali, je hizo mpya? si watashirikiana tu?

MODs, bila ya concrete proof, ondoa hii thread, au angalau iweke ktk Habari Mchanganyiko.

sending a message kwa wahusika...............
 
kama ni kweli nakubaliana na wazo/hoja ya kubadilisha hizi passport zetu....................zinachezewa mno na wasomali, wanigeria, wakenya na wacongo....ofcourse wakishirikiana na maafisa wa serikali yetu

I beg to differ! Kwanza hii ni rumour; pili; una maana gani kusema "zinachezewa..."? Kama sioo undundu wa maafisa pale hizi passport ni ngumu sana kuzifanyia mchezo wowote kama kuforge au kutengeneza dublicate, beleive you me!! Kuanzai utengenezaji, na uhalali wa hizi passport etc is one of the most secure passport issiance system in Africa, if not the world!
 
I beg to differ! Kwanza hii ni rumour; pili; una maana gani kusema "zinachezewa..."? Kama sioo undundu wa maafisa pale hizi passport ni ngumu sana kuzifanyia mchezo wowote kama kuforge au kutengeneza dublicate, beleive you me!! Kuanzai utengenezaji, na uhalali wa hizi passport etc is one of the most secure passport issiance system in Africa, if not the world!

Mkuu Vidunda,
....niliposema "zinachezewa" nilikuwa na maana passport zetu zimekuwa zikitumiwa sana na hawa watu ilikufanikisha malengo yao ambayo mimi na wewe hatuyajui......lakini it ends up kuipa sifa mbaya Taifa letu......kwamba Passport zetu ziko kama njugu barabarani........i've got this personal experience.........oneday nikaambiwa kuna mtanzania amekamatwa sehemu....................only ku-find ni M-DRC...................sehemu nyingne tena.....nikakuta ni Mkenya.......and so on so on................sasa what is this "Coincidence".................

Yes passport zetu zaweza kuwa na teknolojia maridadi kabisa......lakinikama maafisa wetu pamoja na sisi wenyewe hatuko makini..........hili jambo lina/tatu-cost............
 
Back
Top Bottom