Passport: Hali si mbaya kama watu wasemavyo?

Passport: Hali si mbaya kama watu wasemavyo?

Kama haijatoka utaongeza 100,000 upewe mpya. Kaulize kama imetoka au bado na kwanini?
Walikua wananipa kalenda tu bado ndo inafanyiwa mchakato kila ukienda wanakupa viswahili nikaamua kuwaacha tu sasa sijajua kama wataniambia niomgeze hela au lah na mim niliombea mkoani walipoona zinachelewa wakaniambia nifatilie mwanyewe huku huku nikawa nafatilia lakini hadi leo bado
 
Walikua wananipa kalenda tu bado ndo inafanyiwa mchakato kila ukienda wanakupa viswahili nikaamua kuwaacha tu sasa sijajua kama wataniambia niomgeze hela au lah na mim niliombea mkoani walipoona zinachelewa wakaniambia nifatilie mwanyewe huku huku nikawa nafatilia lakini hadi leo bado
Duh pole sana.
 
Niliwahi ku apply
Mkuu kama unaweza na unacho kitambulicho cha NIDA wape na hiyo ongeza mpunga unapata hiyo Mpya... msongamano wa 2020 na uchaguzi utaambiwa karatasi zimeisha akili zipo kwenye karatasi za Uchaguzi hiyo uliyochukua ni kama ile ya karatasi za kwenda East Africa ila ni kitabu....
 
Watu wanakosea kuandika RRONDO wanaandika PRONDO na mimi huwa siwasahihishi.
leo ndio nimegundua kuwa huwa nakosea kwenye uandishi wajina lako "" Siku zote nilikuwa naona kuwa inasomeka PRONDO ..kumbe ni RRONDO ..MAAJABU HAYA
 
leo ndio nimegundua kuwa huwa nakosea kwenye uandishi wajina lako "" Siku zote nilikuwa naona kuwa inasomeka PRONDO ..kumbe ni RRONDO ..MAAJABU HAYA
W
leo ndio nimegundua kuwa huwa nakosea kwenye uandishi wajina lako "" Siku zote nilikuwa naona kuwa inasomeka PRONDO ..kumbe ni RRONDO ..MAAJABU HAYA
leo ndio nimegundua kuwa huwa nakosea kwenye uandishi wajina lako "" Siku zote nilikuwa naona kuwa inasomeka PRONDO ..kumbe ni RRONDO ..MAAJABU HAYA
leo ndio nimegundua kuwa huwa nakosea kwenye uandishi wajina lako "" Siku zote nilikuwa naona kuwa inasomeka PRONDO ..kumbe ni RRONDO ..MAAJABU HAYA
Wenzio wanasema eti kuna ID PRONDO nayo ni yangu!
 
Mkuu kama unaweza na unacho kitambulicho cha NIDA wape na hiyo ongeza mpunga unapata hiyo Mpya... msongamano wa 2020 na uchaguzi utaambiwa karatasi zimeisha akili zipo kwenye karatasi za Uchaguzi hiyo uliyochukua ni kama ile ya karatasi za kwenda East Africa ila ni kitabu....
Hilo neno....kubadili nchi nzima itakuwa mtuhani. Ngoja niigonge hata mihuri mitatu kwanza
 
W


Wenzio wanasema eti kuna ID PRONDO nayo ni yangu!
hahaaa kwani kuna mtu mwingine humu anayeitwa PRONDO ""
MIMI NIJUAVYO uko wewe tu pekee " na mimi ndiye nilikuwa nakosea kuliandika jina lako badala ya RRONDO nikawa naandika PRONDO ""
so sijui nawao walikuwa wanakosea kama mimi au nivipi !!?
lakini mbona haiingii akilini yaani mtu awe najina kama lko PRONDO-------RRONDO KISHA ATUMIE MPAKA AVATAR HIYO HIYO YA AINA MOJA LENGO LAKE HASAA NI NINI ""?
 
Labda huko huku kuna watu wana mwaka hawajapata
Eddy,
Wewe unaishi dunia ya wapi? Ya nini kujidhihirisha ndani ya JF kwamba uko gizani?
Unaongea mambo tu ya ajabu ajabu wewe hujui mipangilio na taratibu za utoaji passport?
Mikoa inatuma maombi Dar makao makuu ndiko passport zinatoka hivyo mikoani uwezekano wa kuchelewa ni mkubwa!
 
hahaaa kwani kuna mtu mwingine humu anayeitwa PRONDO ""
MIMI NIJUAVYO uko wewe tu pekee " na mimi ndiye nilikuwa nakosea kuliandika jina lako badala ya RRONDO nikawa naandika PRONDO ""
so sijui nawao walikuwa wanakosea kama mimi au nivipi !!?
lakini mbona haiingii akilini yaani mtu awe najina kama lko PRONDO-------RRONDO KISHA ATUMIE MPAKA AVATAR HIYO HIYO YA AINA MOJA LENGO LAKE HASAA NI NINI ""?
Wengi sana wanakosea.
 
Lakini ningeshauri pasi za muda tungejaza online hata kama boader yoyote unapata mfano halisi mkenya anapata pasi ya mwaka ndani ya dakika 15 kwa kshs 350 tu na anaendelea na safari kwakweli Rais wetu anagalia hili swala pia ni la wanyonge wanateseka kwa dharura inapotokea
 
Back
Top Bottom