RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,549
- 135,748
Jana nimepata passport yangu. Imenichukua miezi miwili tangu niwasilishe maombi mpaka kuipata. Wengi walikuwa wanasema inachukua hadi miezi sita.
Niliomba tarehe 24/11/2017 nikapewa ahadi ya kuchukua tarehe 22/12/2017.
Nilikwenda kuulizia siku chache baada ya hio tarehe nikaambiwa bado. Cha kukatisha tamaa pale niliwakuta watu waliodai waliomba mwezi May!
Baada ya kusikia hivyo nikasema sitarudi kuulizia hadi mwezi wa tatu. Jana nimeenda kuuliza nikaandikiwa kikaratasi namba ya passport na tarehe iliotoka 25/01/2018 itaisha 2018( in fact 2020 haitumiki tena).
Ningeshauri watu wa Uhamiaji muwe na utaratibu wa kutupigia simu pasi zikitoka.
Kwa wale ambao walioomba kama mimi na hazikutoka wana bahati kwasababu wao wanatakiwa kuongeza 100,000 wapate ile mpya na sasa hivi unawasilisha Nation ID tu unapata.
Ila akina sisi 50,000 yetu itatumika kwa mwaka mmoja na miezi tisa baadae tutoe 150,000 kupata mpya.
Niliomba tarehe 24/11/2017 nikapewa ahadi ya kuchukua tarehe 22/12/2017.
Nilikwenda kuulizia siku chache baada ya hio tarehe nikaambiwa bado. Cha kukatisha tamaa pale niliwakuta watu waliodai waliomba mwezi May!
Baada ya kusikia hivyo nikasema sitarudi kuulizia hadi mwezi wa tatu. Jana nimeenda kuuliza nikaandikiwa kikaratasi namba ya passport na tarehe iliotoka 25/01/2018 itaisha 2018( in fact 2020 haitumiki tena).
Ningeshauri watu wa Uhamiaji muwe na utaratibu wa kutupigia simu pasi zikitoka.
Kwa wale ambao walioomba kama mimi na hazikutoka wana bahati kwasababu wao wanatakiwa kuongeza 100,000 wapate ile mpya na sasa hivi unawasilisha Nation ID tu unapata.
Ila akina sisi 50,000 yetu itatumika kwa mwaka mmoja na miezi tisa baadae tutoe 150,000 kupata mpya.