My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,930
- 13,333
Unakuwa Kama mtu mlugaluga au waluwalu asiyejua maana ya "Freedom of Speech " yaani unadhani Twitter ni sawa na magazeti yanayofungiwa na serikali wakati wowote?
Ukitaka kujua Twitter ni Mtandao wa aina gani, na wamiliki wake ni kina nani na nguvu yake ikoje chini ya jua basi Serikali ifuate Ushauri wako kisha waifungie Tanzania.
Yaani US Embassy iingie gizani, iache kuwasiliana na watu wake ambao huwa inawapata kirahisi mno kupitia Twitter, hapo ndo Pasco utaijua Twitter vizuri na ndo utajua kwanini viazi vitamu vinaitwa matobolwa vikikaushwa, na ndo utajua kwanini Trump anashinda Twitter.
Siyo kila jambo ni rahisi kufanyika hapa Duniani Kama unavyodhani,mengine ni ya kutazama na kuacha Kama yalivyo.
Ukitaka kujua Twitter ni Mtandao wa aina gani, na wamiliki wake ni kina nani na nguvu yake ikoje chini ya jua basi Serikali ifuate Ushauri wako kisha waifungie Tanzania.
Yaani US Embassy iingie gizani, iache kuwasiliana na watu wake ambao huwa inawapata kirahisi mno kupitia Twitter, hapo ndo Pasco utaijua Twitter vizuri na ndo utajua kwanini viazi vitamu vinaitwa matobolwa vikikaushwa, na ndo utajua kwanini Trump anashinda Twitter.
Siyo kila jambo ni rahisi kufanyika hapa Duniani Kama unavyodhani,mengine ni ya kutazama na kuacha Kama yalivyo.

Uko pande hizi