Pascal Mayalla yuko wapi?

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,637
Pascal hayaoni haya mambo yote yanayotokea?
Hawa watu wanasema wanataka kuandamana ni kweli wanataka kuikomboa nchi au wanataka kurudisha nyuma maendeleo na kutupeleka kwenye Stone Age ?
 
Baba yako Nyerere alishiriki kwa kiasi kikubwa kuifanya nchi iwe hapa kwenye anguko, yeye ndo alitengeneza mazingira majizi ya Ccm yasiweze kushtakiwa.
 
Kwamba Pascal aseme au afanye nini ?!!!!; Of-course anaweza kutumia kalamu yake kufanya kitu lakini haipaswi ashurutishwe au kulazimishwa kufanya kitu, ila akifanya tumtetee Haki yake ya kufanya anachoona ni sawa kwake.., after all ndio demokrasia tunayotaka..... ( Hata Tyranny of the Majority is still Tyranny)

Vilevile je Pascal anaunga mkono kinachoendelea ?

Strategy without tactics is the slowest route to victory. Tactics without strategy is the noise before defeat. -Sun Tzu,

Ingawa wote kama Jamii kwa wakati wote tunahitaji kukemea Uharamia na Kuukataa tatizo watawala wameweza kuuvika Uharamia majina mengine hivyo kuweza kuwafanya mgombane nyie kwa nyie (sababu mnagombania utofauti wenu na sio root causes ambazo ni Uharamia unaowa-affect nyote)
 
Kashafanya mambo makubwa ikiwemo kutolewa studioni na mtutu wa bunduki, muache atulie aangalie upepo.
 
Pascal hayaoni haya mambo yote yanayotokea?
Hawa watu wanasema wanataka kuandamana ni kweli wanataka kuikomboa nchi au wanataka kurudisha nyuma maendeleo na kutupeleka kwenye Stone Age ?
Akikujia in box usiache kushare na wakulungwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…