Kwamba Pascal aseme au afanye nini ?!!!!; Of-course anaweza kutumia kalamu yake kufanya kitu lakini haipaswi ashurutishwe au kulazimishwa kufanya kitu, ila akifanya tumtetee Haki yake ya kufanya anachoona ni sawa kwake.., after all ndio demokrasia tunayotaka..... ( Hata Tyranny of the Majority is still Tyranny)
Vilevile je Pascal anaunga mkono kinachoendelea ?
Strategy without tactics is the slowest route to victory. Tactics without strategy is the noise before defeat. -Sun Tzu,
Ingawa wote kama Jamii kwa wakati wote tunahitaji kukemea Uharamia na Kuukataa tatizo watawala wameweza kuuvika Uharamia majina mengine hivyo kuweza kuwafanya mgombane nyie kwa nyie (sababu mnagombania utofauti wenu na sio root causes ambazo ni Uharamia unaowa-affect nyote)