JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,156
- 3,626
hilo usahau yaani opposition kila uchaguzi idadi ya wabunge inaongezeka, unajua kwanini? wajinga wengi wanazeeka na kufa huku vijana wanao jitambua wanaongezeka. Hivi mzee aliye kuwa na miaka 80mwaka 2015 unadhani ana nafasi kubwa ya kufika 2020? Whether you like or not CCM mpaka 2025 lazima itoke madarakani.Bora waambiwe, wanaboa sana badala ya kushusha mambo muhimu tutingishe vichwa tusio wana siasa wanaleta ya ajabu. Wakiendelea hivi, kura za kushinda za 2020 wasahau kabisa tena % itashuka kupita 2015.
Huelewi unachokisema na uelewa mdogo! Short sited analysis. Your analysis is too superficial, narrow and is not guided by reason.Mkuu ni aibu kila siku kushadidia ya jana. Lazima ifike wakati masuala ya nani alikosa na nani alishinda tuachane nayo, after all katika kutafuta ushindi kuna mbinu nyingi ukishindwa hizo mbinu kubali umeshindwa. Je, Wamarekani wakati ule si walilalamika lakini wakaendelea na ujenzi wa nchi yao? Hivi mikutano ya hadhara ikiendelea tutapata wapi nafasi ya kufanya kazi? Aliyekosa 2015 asubiri 2020 ila asimbane aliyeshinda ili ikifika 2020 aonekane hajafanya lolote. Nchi gani iliongozwa kwa maandamano jamani, kama ni vikao vya ndani nani kazuia mbona CUF wanafanya, Chadema walichagua Katibu Mkuu n.k. Tumechoka sasa
Mie nataka nitoke kabisa humu lakini nilishauliza jinsi ya kujitoa sikupata jibu, nishaomba madmin wanitoe mpaka leo nikiingia nakuta nipo,.nielekezeni nijitoe kabisa humu jamii unafanyaje bila kupigwa ban,.manake ban inakuwa kama ni adhabu"Wajumbe wa jamii forum" yes hapo ndo pana hoja, mimi sitasema coz juz nilipgwa ban kisa hyo ishu,naamini mayala kamalza mjadala ukweli mmeupata
Sasa ukishajaza form nn kinafuata?YULE mtangazaji mwenye makeke mengi kinapofika msimu wa sabasba Pascal Mayala ambaye pia ni mwenyekiti wa PPR(Press and Public Relations). pia ni mtangazaji wa kipindi cha PPR na sabasaba kinachorushwa TV mbalimbali ikiwemo TBC1.
Tarehe 9 july aliingia banda la tume ya uchaguzi Tanzania(NEC) na kufanya mahojiano na mkurugenzi wa uchaguzi (jina nimelishau) alipoona haitoshi akaenda kuwahoji viongozi wa vyama vingine vya siasa waliotembelea banda la tume hilo. nao waliiunga mkono NEC kwa kazi nzuri na uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Kazi ilikuja namna Pascal mayalla alipokuwa akiongea baada ya kuhoji wadau, alisema wale wajumbe wa jamii forum waache kumpigia debe kiongozi wao aonekane ameshinda kumbe hajashinda. Wakubali matokeo yaliyotangazwa sio kila siku tunazungumzia uchaguzi.
Pia aliongezea kwa kusema, uchaguzi unafom ya kujaza kama hujaridhika na matokeo hasa kama hujajza hiyo fom ya madai inaonesha uchaguzi ulikuwa huru na haki....
Asante kaka ila nilichotaka kueleza kimeelezwa na huyu:::: Lowassa: CHADEMA tume graduate kutoka kuwa wanaharakati hadi chama cha siasa Je, una la Ziada an intelligent man than me kapuku?Huelewi unachokisema na uelewa mdogo! Short sited analysis. Your analysis is too superficial, narrow and is not guided by reason.
Kwani Lowasa anajua kila kitu duniani. Losawa is a man and therefore susceptible to errors! You need to have your own vision of the issues, your own analysis of the issue guided by reason! Huwezi kushika dola kama watu hawakujui, na njia ya kukujua ni kuwaendea wananchi na kuwahubiria. Ndio maana dini huwa zinahubiriwa particularly hizi zinazomea kama uyoga ili zipate wafuasi. Likewise katika siasa lazima uhubiri sera zako watu wakujue na watofautishe na wengine. You need to identify yourself particularly when you are in an oppressive environment like ours. Losawa is overlooking this important point! The political environment in Tanzania is hostile to the opposition! You need to be more tactical!Asante kaka ila nilichotaka kueleza kimeelezwa na huyu:::: Lowassa: CHADEMA tume graduate kutoka kuwa wanaharakati hadi chama cha siasa Je, una la Ziada an intelligent man than me kapuku?
Hakuchakachua alifichua wachakachuaji ambao walikuwa wamejichimbia ili kubadili matokea halaliMkuu wa Uchakachuaji na kamati za Ufundi January ndiyo aliyegeuza matokeo na kuwa yalivyo sasa , kinyume na Hapo Leo hii ccm ingekuwa chama cha upinzani Kama KANU ya Kenya .
UKAWA haijawahi, haijashinda na haitashinda Uchaguzi labda 2050Mkuu wa Uchakachuaji na kamati za Ufundi January ndiyo aliyegeuza matokeo na kuwa yalivyo sasa , kinyume na Hapo Leo hii ccm ingekuwa chama cha upinzani Kama KANU ya Kenya .
Hivi KANU wakati huo rais alikuwa nani vile? Na sasa rais wa Kenya ni nani? Aisee wisdom and knowledge is power!Mkuu wa Uchakachuaji na kamati za Ufundi January ndiyo aliyegeuza matokeo na kuwa yalivyo sasa , kinyume na Hapo Leo hii ccm ingekuwa chama cha upinzani Kama KANU ya Kenya .
Bora waambiwe, wanaboa sana badala ya kushusha mambo muhimu tutingishe vichwa tusio wana siasa wanaleta ya ajabu. Wakiendelea hivi, kura za kushinda za 2020 wasahau kabisa tena % itashuka kupita 2015.
YULE mtangazaji mwenye makeke mengi kinapofika msimu wa sabasba Pascal Mayala ambaye pia ni mwenyekiti wa PPR(Press and Public Relations). pia ni mtangazaji wa kipindi cha PPR na sabasaba kinachorushwa TV mbalimbali ikiwemo TBC1.
Tarehe 9 july aliingia banda la tume ya uchaguzi Tanzania(NEC) na kufanya mahojiano na mkurugenzi wa uchaguzi (jina nimelishau) alipoona haitoshi akaenda kuwahoji viongozi wa vyama vingine vya siasa waliotembelea banda la tume hilo. nao waliiunga mkono NEC kwa kazi nzuri na uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Kazi ilikuja namna Pascal mayalla alipokuwa akiongea baada ya kuhoji wadau, alisema wale wajumbe wa jamii forum waache kumpigia debe kiongozi wao aonekane ameshinda kumbe hajashinda. Wakubali matokeo yaliyotangazwa sio kila siku tunazungumzia uchaguzi.
Pia aliongezea kwa kusema, uchaguzi unafom ya kujaza kama hujaridhika na matokeo hasa kama hujajza hiyo fom ya madai inaonesha uchaguzi ulikuwa huru na haki....
YULE mtangazaji mwenye makeke mengi kinapofika msimu wa sabasba Pascal Mayala ambaye pia ni mwenyekiti wa PPR(Press and Public Relations). pia ni mtangazaji wa kipindi cha PPR na sabasaba kinachorushwa TV mbalimbali ikiwemo TBC1.
Tarehe 9 july aliingia banda la tume ya uchaguzi Tanzania(NEC) na kufanya mahojiano na mkurugenzi wa uchaguzi (jina nimelishau) alipoona haitoshi akaenda kuwahoji viongozi wa vyama vingine vya siasa waliotembelea banda la tume hilo. nao waliiunga mkono NEC kwa kazi nzuri na uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Kazi ilikuja namna Pascal mayalla alipokuwa akiongea baada ya kuhoji wadau, alisema wale wajumbe wa jamii forum waache kumpigia debe kiongozi wao aonekane ameshinda kumbe hajashinda. Wakubali matokeo yaliyotangazwa sio kila siku tunazungumzia uchaguzi.
Pia aliongezea kwa kusema, uchaguzi unafom ya kujaza kama hujaridhika na matokeo hasa kama hujajza hiyo fom ya madai inaonesha uchaguzi ulikuwa huru na haki....
Pasco hana tofauti na waganga njaa wengine wa lumumbaYULE mtangazaji mwenye makeke mengi kinapofika msimu wa sabasba Pascal Mayala ambaye pia ni mwenyekiti wa PPR(Press and Public Relations). pia ni mtangazaji wa kipindi cha PPR na sabasaba kinachorushwa TV mbalimbali ikiwemo TBC1.
Tarehe 9 july aliingia banda la tume ya uchaguzi Tanzania(NEC) na kufanya mahojiano na mkurugenzi wa uchaguzi (jina nimelishau) alipoona haitoshi akaenda kuwahoji viongozi wa vyama vingine vya siasa waliotembelea banda la tume hilo. nao waliiunga mkono NEC kwa kazi nzuri na uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Kazi ilikuja namna Pascal mayalla alipokuwa akiongea baada ya kuhoji wadau, alisema wale wajumbe wa jamii forum waache kumpigia debe kiongozi wao aonekane ameshinda kumbe hajashinda. Wakubali matokeo yaliyotangazwa sio kila siku tunazungumzia uchaguzi.
Pia aliongezea kwa kusema, uchaguzi unafom ya kujaza kama hujaridhika na matokeo hasa kama hujajza hiyo fom ya madai inaonesha uchaguzi ulikuwa huru na haki....