Partner wa kusafiri nae

Partner wa kusafiri nae

Mi nakwenda Mombasa likizo July 8 kwenye harusi badili route twende wote gharama zote juu yangu
 
SAFARI NA USINGLE Vinaendana vipi? we sema unatka wa kugegeda tu, maana kma upo single means hiyo mashine inaitaji kukunwa sema nimekukubar yani upate mtu msafiri tu akale vyake? we noma, nenda morogoro stoo askri hawaji nhuwa wanakama wanao wanunua ila wa pale manzese tu.
 
Kwenye hotel mtakayo fikia ni single room au kila mtu na chumba chake? na je kama ni single room tutalala mzungu wa 4 au ziro distance?
 
Habari za saa hivi wanaJF,

Let me go straight to my point, mimi ni msichana single 25 this year, napenda sana kusafiri kuliko maelezo, yani for leisure na adventure kipato changu ni cha kawaida but I can afford vitu vidogo vidogo.

I plan to travel mwezi wa 6 au 7 kuelekea Nairobi so I need mtu wa kusafiri nae either male au female ila asiwe mzigo,aweze kujilipia expenses za hapa na pale yani iwe half kama tutatumia 4million basi iwe 2m per person.

Anyone interested nicheck inbox

N:B usiwe mtu wa mood swings,it kills the fun.
Dada kama nakukumbuke vile..........
 
Hapa naona wanaume mnaponda na kubeza, kumbe tayari mshajaza PM na binti 25
 
Habari za saa hivi wanaJF,

Let me go straight to my point, mimi ni msichana single 25 this year, napenda sana kusafiri kuliko maelezo, yani for leisure na adventure kipato changu ni cha kawaida but I can afford vitu vidogo vidogo.

I plan to travel mwezi wa 6 au 7 kuelekea Nairobi so I need mtu wa kusafiri nae either male au female ila asiwe mzigo,aweze kujilipia expenses za hapa na pale yani iwe half kama tutatumia 4million basi iwe 2m per person.

Anyone interested nicheck inbox

N:B usiwe mtu wa mood swings,it kills the fun.

Naomba untafte please 0719678528
 
Habari za saa hivi wanaJF,

Let me go straight to my point, mimi ni msichana single 25 this year, napenda sana kusafiri kuliko maelezo, yani for leisure na adventure kipato changu ni cha kawaida but I can afford vitu vidogo vidogo.

I plan to travel mwezi wa 6 au 7 kuelekea Nairobi so I need mtu wa kusafiri nae either male au female ila asiwe mzigo,aweze kujilipia expenses za hapa na pale yani iwe half kama tutatumia 4million basi iwe 2m per person.

Anyone interested nicheck inbox

N:B usiwe mtu wa mood swings,it kills the fun.
Duh! asee
 
Kwenye hiyo safari, kati ya mkaka na mdada unapendelea zaidi usafiri na nani vile?
 
Napata harufu ya kitu kingine zaidi ya safari hapo...Yaani yeyote tu uwe uko tayar kwenda nae ili mradi atimize kutokuwa tegemezi halafu binti wa miaka 25...
25 is a grown up/matured person mwenye kujua baya na zuri ...tafsiri hasi zitabaki kwetu sisi
 
Habari za saa hivi wanaJF,

Let me go straight to my point, mimi ni msichana single 25 this year, napenda sana kusafiri kuliko maelezo, yani for leisure na adventure kipato changu ni cha kawaida but I can afford vitu vidogo vidogo.

I plan to travel mwezi wa 6 au 7 kuelekea Nairobi so I need mtu wa kusafiri nae either male au female ila asiwe mzigo,aweze kujilipia expenses za hapa na pale yani iwe half kama tutatumia 4million basi iwe 2m per person.

Anyone interested nicheck inbox

N:B usiwe mtu wa mood swings,it kills the fun.
Ili kupunguza gharama kama kipaumbele cha Rais wetu itabidi tulale chumba kimoja hotelini .
 
huyu binti anatafuta mume mwenye pesa kiakili zaidi..ametumia logic .. Hakiyawalaiii kumbe kwelii mabinti wamekosa wa kuwaoa eeee dah
 
Back
Top Bottom