Part II: Bado safari yangu ya kusaka utajiri wa nguvu za giza inaendelea

Status
Not open for further replies.
Wewe hata shetani amekugomea kwa jinsi ulivyo goigoi.

Shetani anataka watu wenye akili, sio vikojozi kama wewe mnaolia lia mitandaoni usiku kucha.

Na kwa sababu una akili kisoda, utaishia kulawitiwa na mganga na majini.
 
Ndiyo naamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wachawi hao mkuu. Wala usipate tabu nao.

Ulishawahi kuona wanavyofanya makufuru mbele za Mungu wakiwa wanaingizwa kwenye uchawi?

Huwa wanamtukana Mungu matusi makubwa sana ya kukufuru!

Mtu anayeweza kumkufuru Mungu kwa matusi ya laana unafikiri ndani yake kuna nini zaidi ya mapepo?

Usishangae hapa wanapoikejeli Biblia!

Kama wanaweza kumtusi Mungu kwa makufuru, sembuse biblia?

Hawa ni wana wa giza waliolaaniwa!
 
HV wale wanao bandika matamgazo kwenye nguzo za tanesco je umewacheki nao mbna wako wengi tu wanaotoa huduma hzo au ujaona mabango
 
Nakuurumia Sana ndg,mleta mada ila najua hata wewe sio kosa lako haya yoye ni matokeo ya awamu ya tano kutengeneza ukosefu wa ajira .maana inaonekana wewe ni mhitimu wa chuo na tena ikiwezekana ngazi ya degree.
 
Kama ambavyo awali nilikwisha jitokeza kuomba 'Connection' ya mtaalam au wataalam wa ndagu za utajiri au utajiri wa nguvu za giza.

Nasikitika kusema kuwa bado sijapata haswa sehemu ambayo mhusika anaweza kunishika mkono kunipeleka au kuwa kama 'Godfather' kuniinguza katika ufalme huo wa giza haswa kupata utajiri.

Mwanzoni uzi wangu nilishuhudia walioniunga mkono, nilipata madalali wengi, matapeli pia walikuepo, wachache walionielekeza sehemu asilimia kubwa nilikuta mtaalam amehama / kufariki kwahio kuniwia vigumu.

Najua pia ilivyo ngumu mtu kuamini haswa kwa dhati kwamba huyu mtu kweli anataka kuchukua njia hio na kupelekea hata aliyekua na connection au alie upande huo kuwa na ugumu sana kukupa connection. Wengine tu hawataki, hakuna sababu maalum lakini hawataki tu na huwezi kumlazimisha.

Mimi bado naendelea na safari yangu ya kuutafuta utajiri wa nguvu za giza au ufalme wa giza, hakuna ubaya katika hilo, ni imani kama imani nyingine, umasikini ni laana, umaskini hauzoeleki, siutaki umaskini, nimeulaani umaskini, na mpendwa wangu Lucifer alisema wazi kuwa ukinisujudia nitakupa mali zote za dunia hii, nami nataka ku claim hiyo power.

Hivyo naendelea kujitokeza kwa wale ambao wataweza kunisaidia kunipa.connection ya UHAKIKA ama kunipeleka basi waweze kunisaidia katika hilo.

Hail Lucifer!

ANGALIZO: Wale walokole na wafia dini nawaomba mtulie, siwahitaji kwenye uzi wangu.
Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?

Mathayo 16:26
 
Your pastors are richer than the people claiming they used to worship the Devil for money. So who is the one you should be afraid of?
Ukienda kanisani utaambiwa utoe sadaka, utapewa maji ya baraka, chumvi ya mawe, maji ya zabibu n. K na mchungaji atakutabiri(ramli) yajayo pia utaonywa kufanya uzinzi na kadhalika,

Ukienda kwa mganga utatoa sadaka, utapewa mashart kama kuacha uzinzi na uoe, utapewa dawa za kuogea(kama kanisani wanavyokupa chumvi za mawe)utatakiwa kutoa sadaka kama ikitokea kuna mwitaji...

Ukiangalia hakuna tofauti nyingi
 
Kama uko serious tafuta usafiri wa toka hapo ulipo uende mpaka simiyu(bariadi mjini),kama utakua unatokea upande wa mwanza utashuka stendi ya somanda ama bariadi mjini, utapanda boda mpaka lugulu kwa buku tano na kama unatokea shinyanga utawaambia wakushushe lugulu. Baada ya hapo kuna kama vijiji viwili sijavishika jina(kama uko serious)utanifata PM nitakupatia namba za wenyeji watakaokupokea na kukupeleka eneo husika..
Mtaalam sio mzee ni kijana mwenye weledi na hataki pesa yako zaidi ya elfu mbili(2000)kabla ya kukuganga.malipo yake ni ahadi tu baada ya kufanikiwa utarudi kutoa shukrani.

Mkuu mambo unayotaka kuyajaribu uwe na moyo.
 
Kama uko serious tafuta usafiri wa toka hapo ulipo uende mpaka simiyu(bariadi mjini),kama utakua unatokea upande wa mwanza utashuka stendi ya somanda ama bariadi mjini, utapanda boda mpaka lugulu kwa buku tano na kama unatokea shinyanga utawaambia wakushushe lugulu. Baada ya hapo kuna kama vijiji viwili sijavishika jina(kama uko serious)utanifata PM nitakupatia namba za wenyeji watakaokupokea na kukupeleka eneo husika..
Mtaalam sio mzee ni kijana mwenye weledi na hataki pesa yako zaidi ya elfu mbili(2000)kabla ya kukuganga.malipo yake ni ahadi tu baada ya kufanikiwa utarudi kutoa shukrani.

Mkuu mambo unayotaka kuyajaribu uwe na moyo.
Kwani wewe uliwahi kujalibu au ulijua je
 
Kama ambavyo awali nilikwisha jitokeza kuomba 'Connection' ya mtaalam au wataalam wa ndagu za utajiri au utajiri wa nguvu za giza.

Nasikitika kusema kuwa bado sijapata haswa sehemu ambayo mhusika anaweza kunishika mkono kunipeleka au kuwa kama 'Godfather' kuniinguza katika ufalme huo wa giza haswa kupata utajiri.

Mwanzoni uzi wangu nilishuhudia walioniunga mkono, nilipata madalali wengi, matapeli pia walikuepo, wachache walionielekeza sehemu asilimia kubwa nilikuta mtaalam amehama / kufariki kwahio kuniwia vigumu.

Najua pia ilivyo ngumu mtu kuamini haswa kwa dhati kwamba huyu mtu kweli anataka kuchukua njia hio na kupelekea hata aliyekua na connection au alie upande huo kuwa na ugumu sana kukupa connection. Wengine tu hawataki, hakuna sababu maalum lakini hawataki tu na huwezi kumlazimisha.

Mimi bado naendelea na safari yangu ya kuutafuta utajiri wa nguvu za giza au ufalme wa giza, hakuna ubaya katika hilo, ni imani kama imani nyingine, umasikini ni laana, umaskini hauzoeleki, siutaki umaskini, nimeulaani umaskini, na mpendwa wangu Lucifer alisema wazi kuwa ukinisujudia nitakupa mali zote za dunia hii, nami nataka ku claim hiyo power.

Hivyo naendelea kujitokeza kwa wale ambao wataweza kunisaidia kunipa.connection ya UHAKIKA ama kunipeleka basi waweze kunisaidia katika hilo.

Hail Lucifer!

ANGALIZO: Wale walokole na wafia dini nawaomba mtulie, siwahitaji kwenye uzi wangu.
Unahangaika nn, nenda ngende liwale au pande kilwa, terms & conditions uzifuate tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom