Part 5: TISS Bado safari ngumu

Part 5: TISS Bado safari ngumu

My Son drink water

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
4,930
Reaction score
13,333
Tunapozungumzia usalama wa taifa, maana yake ni kwamba tunazumgumzia roho ya nchi.

Ukiona taifa lolote lina watu maskini, wajinga, wasiojitambua, ujue kwamba hata intelligence ya nchi pia haijitambui na iko dhaifu kupindukia.

Ukitaka kufanikiwa kimaisha, waige waliofanikiwa, usiige maskini.

Rais wa Marekani,Donald Trump anaweza kutolewa madarakani wakati wowote na CIA, kwa kivuli cha Bunge, lengo ni maslahi mapana zaidi ya Marekani na siyo yeye Trump na genge lake la Republicans.

Wamarekani wanaipenda nchi yao, sisi hatuipendi Tanzania yetu bali tunapenda CCM na CHADEMA.

Ndo maana Rais wetu ni mungu mtu yeye huwa hakosei.

Naamini hata Nyerere hakuwa mzalendo wa kweli wa Tanzania yetu, kwa kauli yake hii mzee huyu nilimvua uzalendo,namnukuu.

"Kwa katiba hii Tanzania ikipata Rais Dikteta mtakiona cha moto ".

Mungu amrehemu mzee wetu huko alipo,alijua katiba ya Tanzania ni mbovu inayomfanya Rais awe Mungu mtu, Kwanini hakuibadili mapema akiwa madarakani badala yake akatoka na kuanza kulia lia Kama mimi My Son drink water ninavyolia sasa?

Tanzania ina watu mil 50,watu active wanaohangaika na maisha ni mil 15 walioajiriwa hawazidi laki 8,waliojiajiri sekta isiyo rasmi ni hawazidi laki mil 1.

Mil 35 iliyobaki, ni watoto, wazee mno, wagonjwa, wafungwa na idadi kubwa ya mil 30 ni ma jobless tupu.

Humo ndo kunazalishwa matapeli, wezi, vibaka, malaya wa kujiuza, wapiga mizinga, ombaomba na balaa zote.
Mossad retired agent.

"if we want to topple a government, the best group to collaborate with is the big number of the haves not, such people deeply hate their government and they are easily persuaded ".

Mwisho wa kumnukuu huyo jabali.
Je TISS mnalijua hilo?


Inaendelea...

 
Tunachojitafutia kama nchi kwa kutoheshimu hisia na maoni ya wananchi ni janga ndiyo ni janga kweli wananchi wengi wamegafilika mioyoni mwao tujitahijidi kurudi kwenye akili zetu tusipumbazike tuipende nchi yetu wanaoongozwa wanaye ongoza tujitafakari na tujisahihishe tusikumbatie nyufa jengo litaanguka
 
Huu ujinga wako ipo siku utakugharimu tena kwa gharama kubwa ambayo huta isahau ,usidhani hufahamiki wala upo dunia nyingine

State agent
 
Mkuu TISS wameshakusikia sana kwa zile mada zako nyingi, Sasa nakushauri waache wafanye kazi!

Kikubwa tu ni kwamba, huu uchaguzi wa serikali za mitaa ni jaribio kubwa kwa DG mpya, tutaweza kumpima kuwa ni mtu wa namna gani, Je atasaidia kuilinda demokrasi yetu kama component muhimu ya usalama wa nchi au na yeye atabariki magumashi kwenye process ya jambo hilo adhimu.

But so far, Waache hao jamaa wafanye kazi sasa, Meseji ilishawafikia!
 
Huu ujinga wako ipo siku utakugharimu tena kwa gharama kubwa ambayo huta isahau ,usidhani hufahamiki wala upo dunia nyingine

State agent
Mbona mmeanza kutishana sasa kila mtu ana mtazamo wake sio vyema kumtisha . Tunajuwa unamfahamu kama wewe wanavyo kufahamu wengine.

Tushindane kwa hoja sio hoja kwa fojary
 
We unainaga TISS tu ,hula lolote
Screenshot_2019-11-03-20-55-02.jpeg
Screenshot_2019-11-03-20-55-09.jpeg
 
Woga wako umeshafanyiwa kazi kwa uwepo wa Rais aliyepo madarakani, yaliyokuwa yanafanyika awamu iliyopita yangeendelea for another 10 years kusingekalika.
 
Wako busy kutafuta nani anamkosoa mzee meko lakini mpaka nchi inategemea njiti za chips kutoka china, mpaka leo tunategemea sabuni za jamaa kutoka kenya!!

Mbaya zaidi wameruhusu kilaza kuwa CAG.

Labda Kwa sababu "NCHI ILIYOPATA MAENDELEO FEDHA HAINA SAMANI" jamaa anamkwanja Sana atakuwa anadharau report Kwa sababu ni story "FEDHA KUINGIA KWENYE MZUNGUKO"
 
Tunapozungumzia usalama wa taifa, maana yake ni kwamba tunazumgumzia roho ya nchi.

Ukiona taifa lolote lina watu maskini, wajinga, wasiojitambua, ujue kwamba hata intelligence ya nchi pia haijitambui na iko dhaifu kupindukia.

Ukitaka kufanikiwa kimaisha, waige waliofanikiwa, usiige maskini.

Rais wa Marekani,Donald Trump anaweza kutolewa madarakani wakati wowote na CIA, kwa kivuli cha Bunge, lengo ni maslahi mapana zaidi ya Marekani na siyo yeye Trump na genge lake la Republicans.

Wamarekani wanaipenda nchi yao, sisi hatuipendi Tanzania yetu bali tunapenda CCM na CHADEMA.

Ndo maana Rais wetu ni mungu mtu yeye huwa hakosei.

Naamini hata Nyerere hakuwa mzalendo wa kweli wa Tanzania yetu, kwa kauli yake hii mzee huyu nilimvua uzalendo,namnukuu.

"Kwa katiba hii Tanzania ikipata Rais Dikteta mtakiona cha moto ".

Mungu amrehemu mzee wetu huko alipo,alijua katiba ya Tanzania ni mbovu inayomfanya Rais awe Mungu mtu, Kwanini hakuibadili mapema akiwa madarakani badala yake akatoka na kuanza kulia lia Kama mimi My Son drink water ninavyolia sasa?

Tanzania ina watu mil 50,watu active wanaohangaika na maisha ni mil 15 walioajiriwa hawazidi laki 8,waliojiajiri sekta isiyo rasmi ni hawazidi laki mil 1.

Mil 35 iliyobaki, ni watoto, wazee mno, wagonjwa, wafungwa na idadi kubwa ya mil 30 ni ma jobless tupu.

Humo ndo kunazalishwa matapeli, wezi, vibaka, malaya wa kujiuza, wapiga mizinga, ombaomba na balaa zote.
Mossad retired agent.

"if we want to topple a government, the best group to collaborate with is the big number of the haves not, such people deeply hate their government and they are easily persuaded ".

Mwisho wa kumnukuu huyo jabali.
Je TISS mnalijua hilo?


Inaendelea...

Labda Kwa sababu "NCHI ILIYOPATA MAENDELEO FEDHA HAINA SAMANI" jamaa anamkwanja Sana atakuwa anadharau report Kwa sababu ni story "FEDHA KUINGIA KWENYE MZUNGUKO"
 
Back
Top Bottom