zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,066
- 28,712
Mkuu Elimu yetu ina changamoto ndio lakini hii kusema tuna wasomi ila hawana tija sio sahihi.Mbona kila linalofeli nchi hii lawama ni kwa TISS !?
TISS haiwezi kufanya kila kitu. Jambo la msingi ni kuboresha taasisi zetu nyingine zifanye kazi kwa ubora.
Hii kuitegemea TISS ifanye kila kitu ndio inaturudisha nyuma. Kukitokea rushwa lawama kwa TISS, mikataba mibovu lawama kwa TISS. Wakati huo huo kuna taasisi zinazohusika na hayo mambo.
Tukiachana na hayo, mimi ukiniuliza ni kwa nini tunapiga hatua za polepole kwenye maendeleo, ntakwambia tatizo ni elimu.
Elimu yetu imetengeneza lundo la wasomi ambao mchango wao kwenye taifa hili ni kiduchu sana. Sana sana taifa linaingia hasara ya kuwahudumia tu.
Serikali haijaweka mazingira sahihi ya kumax potential za wasomi wetu
Mie binafsu nna mifano hai ya wasomi wawili wamebuni idea mbili kubwa sana moja ya app nyingine product.
Ila kupewa patent imekuwa changamoto, huyo wa product kaambiwa hawana standard ya kupimia ubora wa product yake coz ni mpya. Huyo wa App kanyimwa patent!!
Kwahyo shida hatuna mfumo, mmi nlisoma shule ya mfumo wa cambridge ilikua toka darasa la 3 wana monitor potential yako alafu wanawa classify. Mwishoni wanaweka nguvu kwenye potential yako unakua best.
Ndio maana kule unakuta mtu Kasomea nyoka tu ndio ajira yake kukamata majoka mijini!! Ssa Tz tuna mazingira wezeshi mtu aweze kujiajiri hilo eneo??
Shida sio wasomi ni mazingira wezeshihayajawekwa na serikali with TISS inclusive.