kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,114
Ataliangusha Kanisa kama hatarekebishwa.Kweli mkuu wangu yaani inakuwa Kama vile unalazimishwa eti kiss jumuiya mimi bahasha IPO kirumba natoa zaka ila church nyakahoja pale Kila mtu na time zake
Naomba nieleweke vyema. Haibadili chochote kwako wewe kukataa kumwita mtu huyo kuwa ni; Taahira. Haibadili chochote wala kuongeza au kumpunguzia utu wake. Ubaya ni pale unapotolewa kwa Dharau au unyanyapaa.
Katika hali ya kushangaza, misa ya jumatano ya majivu, Paroko katika matangazo yake akasema anatoa fursa ya kubatiza vichaa, mazezeta na mataira, tena akiongea kwa sauti isiyo na staha. Binafsi nilishangaa ni vipi mtu kama huyu alishindwa kuchagua maneno yenye staha kwa watu kama hawa? Alishindwa vipi kuwaita watu wenye changamoto ya akili, walemavu wa akili? Kwa nafasi yake alistahili kuwapa faraja, binafsi nilipata mashaka makubwa na wito wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio huyu ?Katika hali ya kushangaza, misa ya jumatano ya majivu, Paroko katika matangazo yake akasema anatoa fursa ya kubatiza vichaa, mazezeta na mataira, tena akiongea kwa sauti isiyo na staha. Binafsi nilishangaa ni vipi mtu kama huyu alishindwa kuchagua maneno yenye staha kwa watu kama hawa? Alishindwa vipi kuwaita watu wenye changamoto ya akili, walemavu wa akili? Kwa nafasi yake alistahili kuwapa faraja, binafsi nilipata mashaka makubwa na wito wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamusi inasemaje?
Kumbe ana machafu mengi. Mbona Kanisa linamwacha? Imeandikwa ole wake amwangushaye mdogo huyu.