JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,966
Katika hali ya kushangaza, misa ya jumatano ya majivu, Paroko katika matangazo yake akasema anatoa fursa ya kubatiza vichaa, mazezeta na mataira, tena akiongea kwa sauti isiyo na staha. Binafsi nilishangaa ni vipi mtu kama huyu alishindwa kuchagua maneno yenye staha kwa watu kama hawa? Alishindwa vipi kuwaita watu wenye changamoto ya akili, walemavu wa akili? Kwa nafasi yake alistahili kuwapa faraja, binafsi nilipata mashaka makubwa na wito wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
