PAROKO KIRUMBA MWANZA KANISIKITISHA.

PAROKO KIRUMBA MWANZA KANISIKITISHA.

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,966
Katika hali ya kushangaza, misa ya jumatano ya majivu, Paroko katika matangazo yake akasema anatoa fursa ya kubatiza vichaa, mazezeta na mataira, tena akiongea kwa sauti isiyo na staha. Binafsi nilishangaa ni vipi mtu kama huyu alishindwa kuchagua maneno yenye staha kwa watu kama hawa? Alishindwa vipi kuwaita watu wenye changamoto ya akili, walemavu wa akili? Kwa nafasi yake alistahili kuwapa faraja, binafsi nilipata mashaka makubwa na wito wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika hali ya kushangaza, misa ya jumatano ya majivu, Paroko katika matangazo yake akasema anatoa fursa ya kubatiza vichaa, mazezeta na mataira, tena akiongea kwa sauti isiyo na staha. Binafsi nilishangaa ni vipi mtu kama huyu alishindwa kuchagua maneno yenye staha kwa watu kama hawa? Alishindwa vipi kuwaita watu wenye changamoto ya akili, walemavu wa akili? Kwa nafasi yake alistahili kuwapa faraja, binafsi nilipata mashaka makubwa na wito wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika ulimwengu wa roho hayo majina huenda hayakulenga watu wenye changamoto hizo bali wale waumini waishio katika lindi kubwa la dhambi ilhali wanajiona wako vyema. Ulipaswa kujua muktadha ya homilia yake kwanza. Hata hivyo Pole kwa kufikiri ki-binadamu Zaidi.
 
Katika ulimwengu wa roho hayo majina huenda hayakulenga watu wenye changamoto hizo bali wale waumini waishio katika lindi kubwa la dhambi ilhali wanajiona wako vyema. Ulipaswa kujua muktadha ya homilia yake kwanza. Hata hivyo Pole kwa kufikiri ki-binadamu Zaidi.
Alikuwa na muktadha huo huo wa watu wenye changamoto ya akili kuwa nao wanastahili kubatizwa na yeye katoa ofa ya wao kubatizwa watu wawalete.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa na muktadha huo huo wa watu wenye changamoto ya akili kuwa nao wanastahili kubatizwa na yeye katoa ofa ya wao kubatizwa watu wawalete.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkubwa hapo tatizo ni mapokeo yako na elimu uliyopewa juu ya majina dhalilishi kwa hao wenye hizo changamoto. "Kipofu" iwe Mwenye uoni hafifu! "Taahira" iwe Mwenye mtindio wa ubongo! hizi zote ni katika kutafuta kuficha hali halisi ya mtu! AU wasibatizwe?
 
Sasa mkubwa hapo tatizo ni mapokeo yako na elimu uliyopewa juu ya majina dhalilishi kwa hao wenye hizo changamoto. "Kipofu" iwe Mwenye uoni hafifu! "Taahira" iwe Mwenye mtindio wa ubongo! hizi zote ni katika kutafuta kuficha hali halisi ya mtu! AU wasibatizwe?
Tatizo ni majina yaliyotumika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkubwa hapo tatizo ni mapokeo yako na elimu uliyopewa juu ya majina dhalilishi kwa hao wenye hizo changamoto. "Kipofu" iwe Mwenye uoni hafifu! "Taahira" iwe Mwenye mtindio wa ubongo! hizi zote ni katika kutafuta kuficha hali halisi ya mtu! AU wasibatizwe?
Kumwita mtu taahira ni sawa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom